JB adai anajali heshima kuliko pesa kwenye filamu
Muigizaji wa ‘Chungu cha Tatu’ Jacob ‘JB’ Stephen amesema yupo tayari kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 200 kwenye filamu bila kujali hasara ili kujenga heshima yake katika tasnia ya filamu.
JB amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa, ameamua kuwaridhisha mashabiki wake wa filamu kwa kufanya kazi za gharama za juu na zenye ubora.
“Mimi nimetengeneza sinema zaidi ya 37 mpaka sasa hivi kupitia kampuni yangu ya Jerusalem na pesa zipo kwenye akaunti yangu lakini kumbukumbu yangu kubwa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Sep
Ray adai hakuna tena ushindani kwenye filamu za Bongo
9 years ago
Bongo529 Oct
Soggy Doggy adai mashabiki wa sasa wanapenda ‘kutazama kuliko kusikiliza’
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bLEybj6Y_vM/U_ci-4SylbI/AAAAAAAGBWA/CsXSA1CSstI/s72-c/unnamed.jpg)
Airtel Money yazindua rasmi huduma ya kutuma/kupokea pesa moja kwa moja kwenye akaunti ya tigo pesa
![](http://1.bp.blogspot.com/-bLEybj6Y_vM/U_ci-4SylbI/AAAAAAAGBWA/CsXSA1CSstI/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFIziE9N6wDzK6U40Cs*Zx1yMnGD5QuoxEDDRis4xOB3ji7w89VDuQqahVIYPkwundAoIfzVLWFQKbyeDHVbtB0l/DSC_0056.jpg?width=650)
AIRTEL MONEY YAZINDUA RASMI HUDUMA YA KUTUMA, KUPOKEA PESA MOJA KWA MOJA KWENYE AKAUNTI YA TIGO PESA
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Bora filamu kuliko habari nchini Congo
9 years ago
Bongo Movies28 Dec
JB:Ubora wa Filamu Kwanza,Pesa Baadae
Staa mkongwe wa Bongo Movies, Jacob Steven ‘JB’ amesema anachoangalia kwenye kazi yake ni kutengeneza filamu zenye ubora kuliko pesa atakayoipata kwenye mauzo ya filamu yenyewe.
![jb06](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/jb06.jpg)
Jacob Steven ‘JB’
‘’Wakati mwingine nakuwa kama kichaa nikitengeneza movie zangu siangalii namna ambavyo nitapata faida kubwa,naangalia jinsi ambavyo naweza kutengeneza kitu kizuri,naaamini katika maisha kuacha historia bora kuliko kitu chochote,hadi sasa nimeshatengeneza zaidi ya filamu 37 kutoka kwenye kampuni...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ccv79ba4KWB-oCf1XStl4-YAt6EDDNeznrMpminj0LGURy5fZqNFS5Yy9h28B8*TBe88q9bdMIRRYhUrBoKJl26GWck4TyL*/taiya1.jpg?width=650)
TAIYA ADAI KUPONZWA NA FILAMU ZA USALITI
9 years ago
Bongo523 Oct
Dr Cheni adai tasnia ya filamu Tanzania inakufa
9 years ago
Bongo519 Nov
Steve Nyerere: Nilimwambia Magufuli kuwasaidia wasanii wa filamu ni kupoteza pesa
![11351837_431015323755764_1594616645_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11351837_431015323755764_1594616645_n-300x194.jpg)
Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa Bongo Movie Club, Steve Nyerere amesema aliulizwa kwa zaidi ya mara sita na Rais Dk John Magufuli kuhusu nsaada wanaouhitaji, lakini amedai alishindwa kumjibu kutokana na wasanii wengi kutojitambua.
Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV, Steve alisema alimwambia Magufuli asipoteze pesa ya serikali kuwasaidia wasanii wa filamu.
“Sikatai,” alisema Steve. “Nilishamwambia mheshimiwa rais, utapoteza pesa zako, nilisha mwambia mstaafu na huyu mpya...