JB:Ubora wa Filamu Kwanza,Pesa Baadae
Staa mkongwe wa Bongo Movies, Jacob Steven ‘JB’ amesema anachoangalia kwenye kazi yake ni kutengeneza filamu zenye ubora kuliko pesa atakayoipata kwenye mauzo ya filamu yenyewe.
![jb06](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/jb06.jpg)
Jacob Steven ‘JB’
‘’Wakati mwingine nakuwa kama kichaa nikitengeneza movie zangu siangalii namna ambavyo nitapata faida kubwa,naangalia jinsi ambavyo naweza kutengeneza kitu kizuri,naaamini katika maisha kuacha historia bora kuliko kitu chochote,hadi sasa nimeshatengeneza zaidi ya filamu 37 kutoka kwenye kampuni...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo522 Oct
Picha: Muongozaji wa filamu wa Tanzania ashinda tuzo za Marekani na kuwashangaza kwa ubora wa filamu zake
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-C99Db7VkNOs/VXLdTAIJjZI/AAAAAAAHceU/EVdbRT2396I/s72-c/MMGL0943%2Bcopy.jpg)
BIASHARA KWANZA, USALAMA BAADAE....
![](http://4.bp.blogspot.com/-C99Db7VkNOs/VXLdTAIJjZI/AAAAAAAHceU/EVdbRT2396I/s640/MMGL0943%2Bcopy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dqxGrF-Ao48/VXLdTCJPu2I/AAAAAAAHceY/OHFUu9WLk1Y/s640/MMGL0946%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yj37h91QkAg/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Waandaaji wa Tuzo za filamu nchini washauriwa kuzingatia viwango na ubora wa kazi za wasanii
Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo (kushoto) akiwa katika kikao cha majadiliano na kamati ya Maandalizi ya Nyumbani Kiswahili Film Awards yaliyofanyika hivi karibuni ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi Nyumbani Kiswahili Film Awards Bw. Fadhil Francis Mfate akichangia hoja wakati wa kikao cha majadiliano kuhusu maandalizi ya Tuzo hizo yaliyofanyika katika ofisi za Bodi ya Filamu hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni...
9 years ago
Bongo528 Dec
JB adai anajali heshima kuliko pesa kwenye filamu
![JB](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/JB-300x194.jpg)
Muigizaji wa ‘Chungu cha Tatu’ Jacob ‘JB’ Stephen amesema yupo tayari kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 200 kwenye filamu bila kujali hasara ili kujenga heshima yake katika tasnia ya filamu.
JB amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa, ameamua kuwaridhisha mashabiki wake wa filamu kwa kufanya kazi za gharama za juu na zenye ubora.
“Mimi nimetengeneza sinema zaidi ya 37 mpaka sasa hivi kupitia kampuni yangu ya Jerusalem na pesa zipo kwenye akaunti yangu lakini kumbukumbu yangu kubwa...
9 years ago
Bongo502 Dec
Video: Muddy Kibirity – Pesa Kwanza Mapenzi Badae
![Screen-Shot-2015-11-30-at-9.03.55-PM](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Screen-Shot-2015-11-30-at-9.03.55-PM-300x194.png)
Angalia hapa video mpya ya msanii Muddy Kibirity wimbo unaitwa “Pesa Kwanza Mapenzi Badae”
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo519 Nov
Steve Nyerere: Nilimwambia Magufuli kuwasaidia wasanii wa filamu ni kupoteza pesa
![11351837_431015323755764_1594616645_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11351837_431015323755764_1594616645_n-300x194.jpg)
Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa Bongo Movie Club, Steve Nyerere amesema aliulizwa kwa zaidi ya mara sita na Rais Dk John Magufuli kuhusu nsaada wanaouhitaji, lakini amedai alishindwa kumjibu kutokana na wasanii wengi kutojitambua.
Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV, Steve alisema alimwambia Magufuli asipoteze pesa ya serikali kuwasaidia wasanii wa filamu.
“Sikatai,” alisema Steve. “Nilishamwambia mheshimiwa rais, utapoteza pesa zako, nilisha mwambia mstaafu na huyu mpya...
10 years ago
Dewji Blog02 Sep
Tigo Pesa yawa ya kwanza duniani kugawa faida kwa wateja
Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo kuhusu kutoa gawio la kiasi cha shilingi bilioni 14.25 lililolimbikizwa kwenye akaunti ya mfuko wa fedha wa Tigo Pesa kwa ajili ya wateja wao. Kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na Meneja Masoko na Usambazaji wa Tigo Pesa Catherine Rutenge (kulia).
Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson akijibu maswali ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu gawio la shilingi...
10 years ago
Bongo516 Sep
Nisher ataja pesa aliyolipwa kama director kwenye video ya kwanza kutengeneza