Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Muddy Kibirity – Pesa Kwanza Mapenzi Badae

Screen-Shot-2015-11-30-at-9.03.55-PM

Angalia hapa video mpya ya msanii Muddy Kibirity wimbo unaitwa “Pesa Kwanza Mapenzi Badae”

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video ya ‘Mapenzi au Pesa’ hatujaipotezea — Nay Wa Mitego

Ubize wa show ndio sababu kubwa aliyoitaja Nay Wa Mitego kuwa chanzo cha kuchelewa kushoot video ya collabo yake na Diamond, ‘Mapenzi au Pesa’. Wakati ambapo baadhi ya mashabiki wameanza kukata tamaa kutokana na muda mrefu kupita bila kuiona video hiyo, Nay amesema lazima walipe deni hilo baada ya uchaguzi kupita ambapo yeye na Diamond […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.

Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni,  Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa

“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...

 

10 years ago

Bongo5

Nisher ataja pesa aliyolipwa kama director kwenye video ya kwanza kutengeneza

Kila kitu kikubwa huanzia kwenye hatua ya chini, kama ni msanii basi lazima utakuta wakati anaanza alifanya show nyingi za bure, kama ni producer wa muziki basi utakuta ametenegezea wasanii wengi mastaa nyimbo bure ili ajitangaze. Safari ya director wa video Nisher kutoka Arusha pia ilianzia katika hatua za kufanya video bure hadi sasa amefikia […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Mapenzi Au Pesa: Wolper Atoboa Anachoshobokea

Hapa na Pale: Kufuatia kuibuka kwa mabishano juu ya nini kinamata kwenye mahusiano kati ya ufundi wa mapenzi au pesa, watu mablimbali wamekuwa wakifunguka mitazamo yao juu swala hili.Staa mrembo wa Bongo Movies, Jackline Wolper naye amefunguka kuwa yeye ni team pesa.

Kupitia ukurasa wake mtandaoni Wolper aliandika kuwa japo anapenda ufundi kidogo lakini yeye anapenda pesa na kuelezakuwa yeye mwenyewe ni fundi.

“Me team chapaaaa ufundi nashobokea kwa mbaliiii siuzimii sana maana me mwenyewe...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapenzi sio pesa, roho inatosha

Mapenzi yamtoa msichana wa kihindi katika familia ya kitajiri na kumpeleka kijijini kwa kijana mwafrika Kenya

 

10 years ago

GPL

PESA MBWEMBWE TU, MAPENZI YA KWELI YAPO

UZOEFU katika maisha ni jambo zuri sana kwa sababu unakusaidia kwa mambo mengi, hasa unapojikuta katika nyakati ngumu. Mara nyingi unapojikuta ndani ya nyumba yako hakuna chakula, unafahamu mara ya mwisho ulipokutana na hali kama hiyo ulifanya nini! Katika maisha ya kindoa na uhusiano wa kimapenzi, siku hizi kumekuwa na misemo mingi inayomaanisha kuwa fedha ni kitu cha msingi sana unapozungumzia kuhusu msichana kuishi kinyumba na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani