Mapenzi sio pesa, roho inatosha
Mapenzi yamtoa msichana wa kihindi katika familia ya kitajiri na kumpeleka kijijini kwa kijana mwafrika Kenya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies11 May
Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.
Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni, Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa
“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG953oWFJhGeaiH3vZNpFs27yz4Gpo9L-iitNHNvqk-s0-BAJN*NpJXdKx-8ZVs800CfJqPKs78V289LaocJEurV/copy.jpg?width=650)
OYA MWANA HASARA ROHO, PESA MAKARATASI!
10 years ago
Bongo Movies03 Mar
Mapenzi Yamerogwa: Wema Sepetu Pale Kati.....Akitaka Kutolewa Roho na Mboto!
Filamu mpya inayokwenda kwa jina la Mapenzi Yamerogwa, iliyowajumuisha waigizaji wakali kama Wema Sepetu, Mboto, Hemmed PHD, Riyama na Aunty Ezekiel inatarajiwa kuingia sokoni tarehe 23 mwezi huu.
“Mapenzi Yamerogwa pale kati Wema Sepetu na mustach wake mpnz Fontana akitaka kutolewa roho na Mboto aliyechoshwa na ahadi za Hemmed aliyezidiwa na mapenzi ya Faudhia aliyefundwa unyagoni na Riyama nahitaji support yenu...kazi hii itakuwa sokoni kuanzia tarehe 23 mwezi huu....tukisambaza wenyewe...
10 years ago
Bongo Movies24 Jun
Ujumbe: Tutafute Pesa Sio Kusengenyana-Ray
Pesa Ni Sabuni Ya Roho Hata Kama Mdogo Utaitwa Mzee Hata Kama Una Sura Ya Kawaida Utaitwa Handsome Boy Hata Kama Una Roho Mbaya Utaambiwa Una Roho Nzuri . SASA VIJANA WENZANGU TUPAMBANE KUTAFUTA PESA NA C KUSENGENYANA.. (MONEY TALKS)
raythegreatest on instagram
11 years ago
Bongo530 Jul
Dudu Baya: Alikiba na Diamond tengenezeni pesa, beef sio issue!!
10 years ago
Bongo Movies17 May
Mapenzi Au Pesa: Wolper Atoboa Anachoshobokea
Hapa na Pale: Kufuatia kuibuka kwa mabishano juu ya nini kinamata kwenye mahusiano kati ya ufundi wa mapenzi au pesa, watu mablimbali wamekuwa wakifunguka mitazamo yao juu swala hili.Staa mrembo wa Bongo Movies, Jackline Wolper naye amefunguka kuwa yeye ni team pesa.
Kupitia ukurasa wake mtandaoni Wolper aliandika kuwa japo anapenda ufundi kidogo lakini yeye anapenda pesa na kuelezakuwa yeye mwenyewe ni fundi.
“Me team chapaaaa ufundi nashobokea kwa mbaliiii siuzimii sana maana me mwenyewe...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvN9zcpbLWctNNyzUYytk07TSVzOKaBJ4ADEWehDaW7txgAX-CteqIs8CRS2V-S9VPN*oZgPGmtHC2hn0M6GAlGx/Love.jpg?width=650)
PESA MBWEMBWE TU, MAPENZI YA KWELI YAPO
10 years ago
Bongo Movies15 May
Adarusi: ‘Mapenzi Ya Fukara’ Imebeba Maisha Harisi, Sio Maigizo
Mwigizaji na muongozaji wa filamu za Kibongo, Adarusi Walii amesema kuwa filamu ya ‘Mapenzi ya Fukara’ ambayo itaingia sokoni mwezi huu tarehe 25 imebeba maisha harisi ya kitanzania.
Akiielezea filamu hiyo, Adaris ambaye ndiyo mwongozaji wa filamu hiyo aliimbia BongoMovies.com kuwa tofauti na filamu nyingi za kibongo zinazoigiza maisha ya kuigiza zaidi, filamu hiyo ya Mapenzi ya Fukara imebeba maisha harisi ya maisha ya watu wengi wa hapa Bongo.
“ Watu waisubiri watajionea wenyewe kwani...
9 years ago
Bongo517 Oct
Video ya ‘Mapenzi au Pesa’ hatujaipotezea — Nay Wa Mitego