Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapenzi sio pesa, roho inatosha

Mapenzi yamtoa msichana wa kihindi katika familia ya kitajiri na kumpeleka kijijini kwa kijana mwafrika Kenya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.

Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni,  Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa

“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...

 

10 years ago

GPL

OYA MWANA HASARA ROHO, PESA MAKARATASI!

Inakuwaje watu wangu wa nguvu? Ama nini? Imekaaje kitaa hiyo ya kona mbaya kwa fasi ya Roki Siti? Kipande hii Bongo tambarare nini na nini sema ndo hivo washkaji wanakaza kidizaini f’lani hivi. Enewei, kama vipi barida!
Wazazi ishu za ajali zinazingua kinoma wanangu. Nini kimehapeni masela? Ngoja nitumie chansi hii kuwapa sori wale wote mliolosti ndugu, jamaa na mafrendis. Tugetha tuseme r.i.p kwa wana waliolosti laifu....

 

10 years ago

Bongo Movies

Mapenzi Yamerogwa: Wema Sepetu Pale Kati.....Akitaka Kutolewa Roho na Mboto!

Filamu mpya inayokwenda kwa jina la Mapenzi Yamerogwa, iliyowajumuisha waigizaji  wakali kama Wema Sepetu, Mboto, Hemmed PHD, Riyama na Aunty Ezekiel inatarajiwa kuingia sokoni tarehe 23 mwezi huu.

“Mapenzi Yamerogwa pale kati Wema Sepetu na mustach wake mpnz Fontana akitaka kutolewa roho na Mboto aliyechoshwa na ahadi za Hemmed aliyezidiwa na mapenzi ya Faudhia aliyefundwa unyagoni na Riyama nahitaji support yenu...kazi hii itakuwa sokoni kuanzia tarehe 23 mwezi huu....tukisambaza wenyewe...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ujumbe: Tutafute Pesa Sio Kusengenyana-Ray

Pesa Ni Sabuni Ya Roho Hata Kama Mdogo Utaitwa Mzee Hata Kama Una Sura Ya Kawaida Utaitwa Handsome Boy Hata Kama Una Roho Mbaya Utaambiwa Una Roho Nzuri . SASA VIJANA WENZANGU TUPAMBANE KUTAFUTA PESA NA C KUSENGENYANA.. (MONEY TALKS)

raythegreatest on instagram

 

 

11 years ago

Bongo5

Dudu Baya: Alikiba na Diamond tengenezeni pesa, beef sio issue!!

Dudu Baya ametoa ushauri kwa wadogo zake Diamond Platnumz na Alikiba akiwaambia kuwa watambue nguvu yao na waitumie kutengeneza fedha pamoja na sio kuendekeza ugomvi. “Ninachowashauri hawa wadogo zangu watulie chini wajitambue ni wasanii na usanii wao ni wa kutengeneza pesa, tena watengeneze hata tour ya amani wazunguke nchi nzima, wazunguke hata Afrika Mashariki na […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Mapenzi Au Pesa: Wolper Atoboa Anachoshobokea

Hapa na Pale: Kufuatia kuibuka kwa mabishano juu ya nini kinamata kwenye mahusiano kati ya ufundi wa mapenzi au pesa, watu mablimbali wamekuwa wakifunguka mitazamo yao juu swala hili.Staa mrembo wa Bongo Movies, Jackline Wolper naye amefunguka kuwa yeye ni team pesa.

Kupitia ukurasa wake mtandaoni Wolper aliandika kuwa japo anapenda ufundi kidogo lakini yeye anapenda pesa na kuelezakuwa yeye mwenyewe ni fundi.

“Me team chapaaaa ufundi nashobokea kwa mbaliiii siuzimii sana maana me mwenyewe...

 

10 years ago

GPL

PESA MBWEMBWE TU, MAPENZI YA KWELI YAPO

UZOEFU katika maisha ni jambo zuri sana kwa sababu unakusaidia kwa mambo mengi, hasa unapojikuta katika nyakati ngumu. Mara nyingi unapojikuta ndani ya nyumba yako hakuna chakula, unafahamu mara ya mwisho ulipokutana na hali kama hiyo ulifanya nini! Katika maisha ya kindoa na uhusiano wa kimapenzi, siku hizi kumekuwa na misemo mingi inayomaanisha kuwa fedha ni kitu cha msingi sana unapozungumzia kuhusu msichana kuishi kinyumba na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Adarusi: ‘Mapenzi Ya Fukara’ Imebeba Maisha Harisi, Sio Maigizo

Mwigizaji na muongozaji wa filamu za Kibongo, Adarusi Walii amesema kuwa filamu ya ‘Mapenzi ya Fukara’ ambayo itaingia sokoni mwezi huu tarehe 25  imebeba maisha harisi ya kitanzania.

Akiielezea filamu hiyo, Adaris ambaye ndiyo mwongozaji wa filamu hiyo  aliimbia BongoMovies.com  kuwa tofauti na filamu nyingi za kibongo zinazoigiza maisha ya kuigiza zaidi, filamu hiyo ya Mapenzi ya Fukara imebeba maisha harisi ya maisha ya watu wengi wa hapa Bongo.

“ Watu waisubiri watajionea wenyewe kwani...

 

9 years ago

Bongo5

Video ya ‘Mapenzi au Pesa’ hatujaipotezea — Nay Wa Mitego

Ubize wa show ndio sababu kubwa aliyoitaja Nay Wa Mitego kuwa chanzo cha kuchelewa kushoot video ya collabo yake na Diamond, ‘Mapenzi au Pesa’. Wakati ambapo baadhi ya mashabiki wameanza kukata tamaa kutokana na muda mrefu kupita bila kuiona video hiyo, Nay amesema lazima walipe deni hilo baada ya uchaguzi kupita ambapo yeye na Diamond […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani