Adarusi: ‘Mapenzi Ya Fukara’ Imebeba Maisha Harisi, Sio Maigizo
Mwigizaji na muongozaji wa filamu za Kibongo, Adarusi Walii amesema kuwa filamu ya ‘Mapenzi ya Fukara’ ambayo itaingia sokoni mwezi huu tarehe 25 imebeba maisha harisi ya kitanzania.
Akiielezea filamu hiyo, Adaris ambaye ndiyo mwongozaji wa filamu hiyo aliimbia BongoMovies.com kuwa tofauti na filamu nyingi za kibongo zinazoigiza maisha ya kuigiza zaidi, filamu hiyo ya Mapenzi ya Fukara imebeba maisha harisi ya maisha ya watu wengi wa hapa Bongo.
“ Watu waisubiri watajionea wenyewe kwani...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3NsLTwJ48GRYMzVzRi4mFUyTGne9dHGsoeEsZdHPANyTPSnRAKCQSMQ13xEC04dnl3cwbfn5voZSEQtzyUZCqD/RIYAMA.jpg?width=650)
RIYAMA: SIISHI MAISHA YA MAIGIZO
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Mapenzi sio pesa, roho inatosha
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Tumia muda wako kujenga maisha yako sio kubomoa ya wengine!
WAHENGA walisema, akili ni nywele na kila mtu ana zake, kwa msemo huo, mimi binafsi nakubaliana nao moja kwa moja kwa kuwa katika hali ya kawaida kila binadamu ana nywele...
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
Wanafunzi waaswa kutokufaulu kidato cha nne, sio kufeli maisha
Rais wa shirikisho la wachimba madini Tanzania na mgeni rasmi wa mahafali ya sita ya shule ya sekondari kata Mandewa,John Bina,akizungumza kwenye mahafali hayo. Kulia ni mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari ya Mandewa.Bahati Shagama na kushoto ni mkuu wa wa shule hiyo, Margreth Missanga.
Na Nathaniel Limu, Singida
RAIS wa shirikisho la wachimba madini Tanzania, John Bina amewataka wanafunzi ambao hawatafaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka huu,wasikate tamaa kwa madai kwamba yapo...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/gr1mB0eWx2c/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Wapenzi wasioona waliofunga pingu za maisha wasimulia safari yao ya mapenzi
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Rais fukara huyu hapa
WAKATI viongozi wakuu wa nchi mbali mbili duniani wakiishi maisha ya ukwasi wa hali ya juu kutegemeana na uchumi wa taifa husika, hali hiyo iko tofauti kwa Rais wa Uruguay,...
10 years ago
Habarileo27 Mar
‘Msiligeuze Bunge uwanja wa maigizo’
KAIMU Kiongozi wa Shughuli za Serikali bungeni, Profesa Mark Mwandosya amewataka wabunge wasiligeuze Bunge kama eneo la maigizo, kutokana na kauli zao wanazozitoa wakati wanapotoa michango yao.
10 years ago
Michuzi29 Jan