RIYAMA: SIISHI MAISHA YA MAIGIZO
![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3NsLTwJ48GRYMzVzRi4mFUyTGne9dHGsoeEsZdHPANyTPSnRAKCQSMQ13xEC04dnl3cwbfn5voZSEQtzyUZCqD/RIYAMA.jpg?width=650)
Stori: Imelda Mtema MWIGIZAJI mwenye taito ya kujiheshimu, Riyama Ally, amefunguka kuwa kinachomfanya aishi vizuri na watu ni kwa sababu haishi maisha ya kuigiza. Superstar wa filamu za kibongo Riyama Ally, Akizungumza na mwandishi wetu juu ya maisha yake, Riyama alifafanua: “Mimi siangalii sana maisha ya anasa, naangalia zaidi masuala ya msingi ya jinsi ya kuishi na watu katika jamii na ndiyo maana unaona naishi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
"Nikifa sitaki kusifiwa" - Riyama Ali, akerwa na tabia ya wasanii kuleta maigizo kwenye misiba
RIYAMA Ali mwigizaji wa kike asiye na kashifa katika tasnia ya filamu Bongo, amefunguka kwa kusema kuwa kama kuna msanii mwenzake au mtu mwenye mapenzi naye angependa kama ana sifa kuhusu yeye katika umahiri wa kuigiza na mengineyo basi atumie nafasi hiyo akiwa hai, haitaji kusifiwa akifariki kwani anaamini kuwa sifa hizo hatasikia.
“Nasema mapema kabisa sitaki kusifiwa nikifa, sifa mtu uipate ukiwa hai kama ni faida au kufurahia mwenyewe ujionee lakini nimeshafumba macho kuna faida...
10 years ago
Bongo Movies15 May
Adarusi: ‘Mapenzi Ya Fukara’ Imebeba Maisha Harisi, Sio Maigizo
Mwigizaji na muongozaji wa filamu za Kibongo, Adarusi Walii amesema kuwa filamu ya ‘Mapenzi ya Fukara’ ambayo itaingia sokoni mwezi huu tarehe 25 imebeba maisha harisi ya kitanzania.
Akiielezea filamu hiyo, Adaris ambaye ndiyo mwongozaji wa filamu hiyo aliimbia BongoMovies.com kuwa tofauti na filamu nyingi za kibongo zinazoigiza maisha ya kuigiza zaidi, filamu hiyo ya Mapenzi ya Fukara imebeba maisha harisi ya maisha ya watu wengi wa hapa Bongo.
“ Watu waisubiri watajionea wenyewe kwani...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zcg5CJIee4*s-IrcAm*IkqNEZZHowDCVoq0VRl3M9QTP23Vel-TePwRKS2Z-RfKuhmG8opubXQgOsDCKfMXG7js0VQkMDZWo/224c285ccdf511e387450002c9d797d6_8.jpg?width=650)
MASOGANGE: SIISHI KWA MAKALIO YANGU
10 years ago
Habarileo27 Mar
‘Msiligeuze Bunge uwanja wa maigizo’
KAIMU Kiongozi wa Shughuli za Serikali bungeni, Profesa Mark Mwandosya amewataka wabunge wasiligeuze Bunge kama eneo la maigizo, kutokana na kauli zao wanazozitoa wakati wanapotoa michango yao.
10 years ago
Mwananchi16 May
Makundi mapya ya sanaa za maigizo yajirekebishe
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Maigizo ya vita vya Liberia London
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Serikali iache maigizo, itekeleze majukumu haya
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Tumeanza mwaka, tuache maigizo kwenye elimu
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Tamthilia inayoonyesha nguvu katika sekta ya sanaa ya maigizo