Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maigizo ya vita vya Liberia London

Mchezo wa kuigiza unaovutia watazamaji wengi mjini London kutokana na mada yake kuu ya vita vya Liberia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18

Marekani na washirika wake wa Nato wamekubaiana kuondoa vikosu vyote ikiwa Talibanitatimiza ahadi yake

 

9 years ago

Global Publishers

Hii ndiyo Kambi ya Jeshi la Uingereza  kwenye Vita vya Kwanza vya Dunia

WW1 (1) WW1 (2) WW1 (3) WW1 (4) WW1 (5) WW1 (6) WW1 (7) WW1 (8) WW1 (9) WW1 (10) WW1 (11) WW1 (12) WW1 (13) WW1 (14) WW1 (15) WW1 (16) WW1 (17) WW1 (18) WW1 (19) WW1 (20)Ufaransa

Mashimo ya kupenya ndani kwa ndani chini ya ardhi yamevumbuliwa kwenye machimbo ya chokaa Kaskazini mwa Ufarasa na yanasadikika kuwa wanajeshi wa Uingereza waliishi humo wakati wa mapigano ya Vita vya Kwanza vya Dunia (WW1) vilivyofanyika kati ya waka 1914 hadi 1918.

Ndani ya mashimo hayo kumekutwa miamba migumu ambayo imeandikwa majina ya wapiganaji wa WW1 waliokufa na kuzikwa mule. Pia kuna makanisa ambamo waliabudu, mabaki ya gari na baiskeli za zamani...

 

11 years ago

BBCSwahili

Karne baada Vita vya Kwanza vya Dunia

Bara la Ulaya linaadhimisha mauaji ya mtoto wa mfalme ambayo yalichochea Vita vya Kwanza vya Dunia kuzuka

 

9 years ago

BBCSwahili

Vita vya jogoo vyasababisha vifo vya watu 10

Takriban watu 10 wamepigwa risasi na kuuawa baada ya makundi mawili kutofautiana kuhusu jogoo yupi aliyeibuka mshindi katika vita katika jimbo la Guerrero Mexico.

 

9 years ago

BBCSwahili

Japan inajutia vita vya pili vya dunia

Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe, ameeleza kusikitishwa kwake na mateso na kujitolea kwa watu wengi wakati wa vita vya pili vya dunia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Visa vya Ebola vyapungua Liberia

Shirika la madaktari wasio na mipaka Medecins Sans Frontieres limesema kuwa viwango vya Ebola nchini Liberia vimeshuka kidogo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Visa vipya vya ebola vyatangazwa Liberia

Umoja wa Mataifa umesema kuna maambukizi mapya ya Ebola nchini Liberia baada ya nchi hiyo kutangazwa kutokuwa na ugonjwa huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Visa vpya vya Ebola vyaripotiwa Liberia

Serikali imethibitisha visa viwili vipya vya maambukizi ya Ebola na kuiweka idadi ya walioambukizwa kuwa watu watano.

 

10 years ago

Mwananchi

Vita vya Profesa Muhongo

Sakata la uchotwaji wa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow linaweza kuwa limefanya jina la Profesa Sospeter Muhongo kuzungumzwa sana na kuonekana amekuwa kwenye wakati mgumu tangu lilipoibuka, lakini ukweli ni kwamba lilikuwa hitimisho tu la matukio mengi tangu msomi huyo aanze kuongoza Wizara ya Nishati na Madini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani