Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Visa vya Ebola vyapungua Liberia

Shirika la madaktari wasio na mipaka Medecins Sans Frontieres limesema kuwa viwango vya Ebola nchini Liberia vimeshuka kidogo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Visa vipya vya ebola vyatangazwa Liberia

Umoja wa Mataifa umesema kuna maambukizi mapya ya Ebola nchini Liberia baada ya nchi hiyo kutangazwa kutokuwa na ugonjwa huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Visa vpya vya Ebola vyaripotiwa Liberia

Serikali imethibitisha visa viwili vipya vya maambukizi ya Ebola na kuiweka idadi ya walioambukizwa kuwa watu watano.

 

11 years ago

BBCSwahili

WHO:Visa vya Ebola vimeongezeka kwa kasi

Shirika la afya duniani WHO linasema kuwa visa vipya vya ugonjwa wa Ebola magharibi mwa Afrika vimeongezeka kwa kasi mno.

 

11 years ago

BBCSwahili

Visa vipya 130 vya Ebola Sierra Leone

Maafisa nchini Sierra Leone wanasema kuwa wamepata visa vipya 130 vya maambukizi ya Ebola katika siku 3 tangu kuwekwa amri ya kutotoka nje

 

10 years ago

BBCSwahili

Visa viwili vipya vya Ebola vyaripotiwa Guinea

Visa viwili vipya vya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola vimeripotiwa nchini Guinea na kufuta matumaini ya kudhibiti ugonjwa huo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Idadi ya visa vya corona Kenya imefikia 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa

Idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imefikia hadi 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa, imetangaza Wizara ya afya nchini humo

 

5 years ago

Michuzi

VIFO VYA BARABARANI VYAPUNGUA TANGA

UDHIBITI wa makosa ya usalama barabara mkoani Tanga umesaidia kupunguza matukio ya ajali zilizohusisha watoto kutoka 41mwaka 2018 hadi kufikia ajali 9mwaka 2019.
Takwimu hizo zimetokewa na Mkuu wa kikosi cha usalama barabara mkoa wa Tanga Solomon Mwangamilo wakati wa uzinduzi wa mradi wa usalama barabara kwa shule za msingi na sekondari Jijini Tanga.
Alisema kuwa ukaguzi wa Mara kwamara ya vyombo vya moto pamoja na elimu ya usalama barabara ndio imeweza kusaidia kupunguza ajali...

 

11 years ago

Habarileo

Vifo vya uzazi Mbinga vyapungua

SERIKALI wilayani Mbinga imepunguza vifo vya wajawazito kutoka 79 kati ya 100,000 mwaka 2010 hadi kufikia idadi ya vifo 65 mwaka 2013, ikiwa ni mkakati wake wa kupunguza vifo hivyo vinavyotokana na uzazi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti:Virusi vya HIV vyapungua nguvu

Utafiti mkubwa wa kisayansi umeonyesha kuwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi vya HIV, vinapungua makali yake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani