Visa vya Ebola vyapungua Liberia
Shirika la madaktari wasio na mipaka Medecins Sans Frontieres limesema kuwa viwango vya Ebola nchini Liberia vimeshuka kidogo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Visa vipya vya ebola vyatangazwa Liberia
Umoja wa Mataifa umesema kuna maambukizi mapya ya Ebola nchini Liberia baada ya nchi hiyo kutangazwa kutokuwa na ugonjwa huo.
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Visa vpya vya Ebola vyaripotiwa Liberia
Serikali imethibitisha visa viwili vipya vya maambukizi ya Ebola na kuiweka idadi ya walioambukizwa kuwa watu watano.
11 years ago
BBCSwahili13 Sep
WHO:Visa vya Ebola vimeongezeka kwa kasi
Shirika la afya duniani WHO linasema kuwa visa vipya vya ugonjwa wa Ebola magharibi mwa Afrika vimeongezeka kwa kasi mno.
11 years ago
BBCSwahili22 Sep
Visa vipya 130 vya Ebola Sierra Leone
Maafisa nchini Sierra Leone wanasema kuwa wamepata visa vipya 130 vya maambukizi ya Ebola katika siku 3 tangu kuwekwa amri ya kutotoka nje
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
Visa viwili vipya vya Ebola vyaripotiwa Guinea
Visa viwili vipya vya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola vimeripotiwa nchini Guinea na kufuta matumaini ya kudhibiti ugonjwa huo.
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya visa vya corona Kenya imefikia 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa
Idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imefikia hadi 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa, imetangaza Wizara ya afya nchini humo
5 years ago
MichuziVIFO VYA BARABARANI VYAPUNGUA TANGA
UDHIBITI wa makosa ya usalama barabara mkoani Tanga umesaidia kupunguza matukio ya ajali zilizohusisha watoto kutoka 41mwaka 2018 hadi kufikia ajali 9mwaka 2019.
Takwimu hizo zimetokewa na Mkuu wa kikosi cha usalama barabara mkoa wa Tanga Solomon Mwangamilo wakati wa uzinduzi wa mradi wa usalama barabara kwa shule za msingi na sekondari Jijini Tanga.
Alisema kuwa ukaguzi wa Mara kwamara ya vyombo vya moto pamoja na elimu ya usalama barabara ndio imeweza kusaidia kupunguza ajali...
Takwimu hizo zimetokewa na Mkuu wa kikosi cha usalama barabara mkoa wa Tanga Solomon Mwangamilo wakati wa uzinduzi wa mradi wa usalama barabara kwa shule za msingi na sekondari Jijini Tanga.
Alisema kuwa ukaguzi wa Mara kwamara ya vyombo vya moto pamoja na elimu ya usalama barabara ndio imeweza kusaidia kupunguza ajali...
11 years ago
Habarileo15 Aug
Vifo vya uzazi Mbinga vyapungua
SERIKALI wilayani Mbinga imepunguza vifo vya wajawazito kutoka 79 kati ya 100,000 mwaka 2010 hadi kufikia idadi ya vifo 65 mwaka 2013, ikiwa ni mkakati wake wa kupunguza vifo hivyo vinavyotokana na uzazi.
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Utafiti:Virusi vya HIV vyapungua nguvu
Utafiti mkubwa wa kisayansi umeonyesha kuwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi vya HIV, vinapungua makali yake
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania