Vita vya jogoo vyasababisha vifo vya watu 10
Takriban watu 10 wamepigwa risasi na kuuawa baada ya makundi mawili kutofautiana kuhusu jogoo yupi aliyeibuka mshindi katika vita katika jimbo la Guerrero Mexico.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Vita vya Jihadi vyasababisha maafa makubwa
Uchunguzi wa BBC umebainisha kwamba mashambulio ya kijihadi yanayofanywa na wapiganaji wa kiisilamu yalisababisha vifo vya zaidi ya watu 5000 kote duniani mwezi Novemba.
9 years ago
Habarileo08 Nov
Polisi wachunguza vifo vya utata vya watu 4 Bukoba
JESHI la Polisi mkoani Kagera linachunguza tukio la vifo vya watu wanne waliouawa katika mazingira ya kutatanisha, kilometa 10 kutoka Bukoba Mjini.
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya Corona: Fahamu nadharia juu ya vifo vya vijana na watu wengine wenye afya njema
Hakuna majibu ya moja kwa moja bali nadharia zinazojaribu kutegua kitendawili cha vifo vya vijana wenye afya.
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18
Marekani na washirika wake wa Nato wamekubaiana kuondoa vikosu vyote ikiwa Talibanitatimiza ahadi yake
10 years ago
BBCSwahili27 Jun
Kuwait yaomboleza vifo vya watu 27
Maombolezi yanaendelea nchini Kuwait kuwakumbuka watu 27 waliouawa kwenye shambulizi la kujitoa mhanga ndani ya msikiti wa kishia
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Utata watanda vifo vya watu watano
Tukio la kuuawa kwa watu watano wa familia moja waliokatwa mapanga na kisha kupoteza maisha kwenye Kitongoji cha Kisesa wilayani Maswa, limegubikwa na utata juu ya watuhumiwa.
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Kimbunga chasababisha vifo vya watu 9 China
Utawala China umethibitisha vifo vya watu 9 kutokana na athari za kimbunga kinachoendelea kuponda pwani yake.
10 years ago
Vijimambo09 Nov
JK atuma rambirambi kufuatia vifo vya watu 12
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Rais%20Jakaya%20Kikwete-November8-2014.jpg)
“Nimepokea kwa mshtuko na masikitiko taarifa za vifo vya watu 12 waliopoteza maisha papo hapo na kusababisha simanzi kubwa kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki zao, huku taifa likipoteza nguvu kazi muhimu kwa maendeleo yake kutokana na ajali za barabarani,” alisema.
Aliwaomba wote waliopoteza ndugu zao katika ajali hiyo...
5 years ago
BBCSwahili07 May
Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?
Hadi kufikia sasa Uingereza inaongoza kwa idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Ulaya na kote duniani kulingana na takwimu rasmi. Kipi kilichokoseka?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania