Kuwait yaomboleza vifo vya watu 27
Maombolezi yanaendelea nchini Kuwait kuwakumbuka watu 27 waliouawa kwenye shambulizi la kujitoa mhanga ndani ya msikiti wa kishia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Ethiopia yaomboleza vifo vya Raia wake
Ethiopia imeanza siku tatu za maombolezo ya raia wake zaidi ya ishirini waliouawa kinyama na magaidi wa Islamic State nchini Libya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZd8IcCh-a9aEdz1*P83rG4m*BKJwTBrtaEknHE*a-479udsS4ZqHla5n2iPtZh85HXAZYhkfMwey6HcN2UKd42J/Newcastle.jpg)
NEWCASTLE YAOMBOLEZA VIFO VYA MASHABIKI WAKE 2 WALIOKUWA KATIKA NDEGE YA MALAYSIA
Eneo maalum ilipo sanamu ya Sir Bobby Robson iliyotengwa kwa ajili ya mashabiki kutoa salamu zao za mwisho kwa mashabiki John na Liam. TIMU ya Newcastle United inaomboleza vifo vya mashabiki wake wawili John Alder (60) na Liam Sweeney (28) waliofariki katika ajali ya ndege ya Malaysia iliyolipuliwa jana huko mashariki mwa Ukraine na kuua watu wote 298 waliokuwemo ndani yake. Mashabiki hao walikuwa wakielekea New Zealand ambapo...
9 years ago
Habarileo08 Nov
Polisi wachunguza vifo vya utata vya watu 4 Bukoba
JESHI la Polisi mkoani Kagera linachunguza tukio la vifo vya watu wanne waliouawa katika mazingira ya kutatanisha, kilometa 10 kutoka Bukoba Mjini.
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Vita vya jogoo vyasababisha vifo vya watu 10
Takriban watu 10 wamepigwa risasi na kuuawa baada ya makundi mawili kutofautiana kuhusu jogoo yupi aliyeibuka mshindi katika vita katika jimbo la Guerrero Mexico.
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Uturuki yaomboleza vifo takriban 95
Maelfu ya Watu wamekusanyika mjini Ankara nchini Uturuki kuomboleza kwa ajili ya Watu takriban 95 waliouawa kwa mabomu
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya Corona: Fahamu nadharia juu ya vifo vya vijana na watu wengine wenye afya njema
Hakuna majibu ya moja kwa moja bali nadharia zinazojaribu kutegua kitendawili cha vifo vya vijana wenye afya.
10 years ago
Vijimambo09 Nov
JK atuma rambirambi kufuatia vifo vya watu 12
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Rais%20Jakaya%20Kikwete-November8-2014.jpg)
“Nimepokea kwa mshtuko na masikitiko taarifa za vifo vya watu 12 waliopoteza maisha papo hapo na kusababisha simanzi kubwa kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki zao, huku taifa likipoteza nguvu kazi muhimu kwa maendeleo yake kutokana na ajali za barabarani,” alisema.
Aliwaomba wote waliopoteza ndugu zao katika ajali hiyo...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Utata watanda vifo vya watu watano
Tukio la kuuawa kwa watu watano wa familia moja waliokatwa mapanga na kisha kupoteza maisha kwenye Kitongoji cha Kisesa wilayani Maswa, limegubikwa na utata juu ya watuhumiwa.
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Kimbunga chasababisha vifo vya watu 9 China
Utawala China umethibitisha vifo vya watu 9 kutokana na athari za kimbunga kinachoendelea kuponda pwani yake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania