Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uturuki yaomboleza vifo takriban 95

Maelfu ya Watu wamekusanyika mjini Ankara nchini Uturuki kuomboleza kwa ajili ya Watu takriban 95 waliouawa kwa mabomu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Takriban Watu 24 wafa maji Uturuki

Takriban wahamiaji 24 wamekufa maji baada ya Boti waliokua wakisafiria kuzama baharini nchini Uturuki

 

10 years ago

BBCSwahili

Kuwait yaomboleza vifo vya watu 27

Maombolezi yanaendelea nchini Kuwait kuwakumbuka watu 27 waliouawa kwenye shambulizi la kujitoa mhanga ndani ya msikiti wa kishia

 

10 years ago

BBCSwahili

Ethiopia yaomboleza vifo vya Raia wake

Ethiopia imeanza siku tatu za maombolezo ya raia wake zaidi ya ishirini waliouawa kinyama na magaidi wa Islamic State nchini Libya

 

11 years ago

GPL

NEWCASTLE YAOMBOLEZA VIFO VYA MASHABIKI WAKE 2 WALIOKUWA KATIKA NDEGE YA MALAYSIA

Eneo maalum ilipo sanamu ya Sir Bobby Robson iliyotengwa kwa ajili ya mashabiki kutoa salamu zao za mwisho kwa mashabiki John na Liam. TIMU ya Newcastle United inaomboleza vifo vya mashabiki wake wawili John Alder (60) na Liam Sweeney (28) waliofariki katika ajali ya ndege ya Malaysia iliyolipuliwa jana huko mashariki mwa Ukraine na kuua watu wote 298 waliokuwemo ndani yake. Mashabiki hao walikuwa wakielekea New Zealand ambapo...

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Takriban watu 20 wapoteza maisha India

Treni mbili zimekosea njia huko nchini India na kutumbukia katika mto nchini India

 

10 years ago

BBCSwahili

Takriban watu 100 wauawa Iraq

Inahofiwa kuwa takriban watu 100 wakiwemo watoto kadha wameuawa kwenye shambulizi la bomu mashariki mwa Iraq

 

10 years ago

Mwananchi

Majuu : takriban kila mwanamke mzuri na sigara mkononi

Macho hayana pazia. Walisema wahenga. Hapa tuliposimama macho yetu kweli hayana kizibo. Tumeganda kama nzi aliyenaswa utandoni. Nzi hana Kiswahili bali kusubiri ang’atwe ng’atwe na yule mdudu mwenye miguu na macho manane.Tumeshikwa bumbuazi tukimtazama bibiye akimwagika.

 

9 years ago

Michuzi

UNESCO YAELEZEA MATUKIO YA WAANDISHI WA HABARI TAKRIBAN 700 KUUAWA

SHIRIKA la kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) limeeleza kuwa waandishi wa habari takriban 700 wameuawa katika kipindi cha miaka 10, huku zikionyesha wastani kuwa kila baada ya wiki moja mwandishi mmoja anauawa duniani.
Pia ilisema kwa mujibu wa ripoti ya waandishi wasio na mipaka kuhusu matukio ya uhuru wa waandishi wa habari, Tanzania imeshuka kwa nafasi sita ambapo hapo nyuma ilikuwa nafasi ya 69 kati ya nchi 180 kati ya mwaka 2006 mpaka 2014, lakini kwa mwaka 2015 ipo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani