Ethiopia yaomboleza vifo vya Raia wake
Ethiopia imeanza siku tatu za maombolezo ya raia wake zaidi ya ishirini waliouawa kinyama na magaidi wa Islamic State nchini Libya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZd8IcCh-a9aEdz1*P83rG4m*BKJwTBrtaEknHE*a-479udsS4ZqHla5n2iPtZh85HXAZYhkfMwey6HcN2UKd42J/Newcastle.jpg)
NEWCASTLE YAOMBOLEZA VIFO VYA MASHABIKI WAKE 2 WALIOKUWA KATIKA NDEGE YA MALAYSIA
Eneo maalum ilipo sanamu ya Sir Bobby Robson iliyotengwa kwa ajili ya mashabiki kutoa salamu zao za mwisho kwa mashabiki John na Liam. TIMU ya Newcastle United inaomboleza vifo vya mashabiki wake wawili John Alder (60) na Liam Sweeney (28) waliofariki katika ajali ya ndege ya Malaysia iliyolipuliwa jana huko mashariki mwa Ukraine na kuua watu wote 298 waliokuwemo ndani yake. Mashabiki hao walikuwa wakielekea New Zealand ambapo...
10 years ago
BBCSwahili27 Jun
Kuwait yaomboleza vifo vya watu 27
Maombolezi yanaendelea nchini Kuwait kuwakumbuka watu 27 waliouawa kwenye shambulizi la kujitoa mhanga ndani ya msikiti wa kishia
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Uturuki yaomboleza vifo takriban 95
Maelfu ya Watu wamekusanyika mjini Ankara nchini Uturuki kuomboleza kwa ajili ya Watu takriban 95 waliouawa kwa mabomu
5 years ago
BBCSwahili07 May
Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?
Hadi kufikia sasa Uingereza inaongoza kwa idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Ulaya na kote duniani kulingana na takwimu rasmi. Kipi kilichokoseka?
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya corona:Rwanda kuwarejesha nyumbani raia wake waliokwama Ulaya na Marekani.
Raia wa Rwanda waliokwama Marekani na Ulaya kutokana na marufuku zilizowekwa za kudhibiti maambukizi wataanza kurudishwa nyumbani.
10 years ago
BBCSwahili22 May
Raia wa Ethiopia wapiga kura
Takriban watu miloni 37 wamejiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa kwanza wa Ethiopia tangu kifo cha waziri mkuu Meles Zenawi aliyehudumu kwa kipindi kirefu.
10 years ago
BBCSwahili04 May
Raia wa Israel kutoka Ethiopia walalama
Polisi wa Israeli waliokuwa wakitumia farasi, walikabiliana vikali na waandamanaji, wakati wa makabiliano katikati mwa mji wa Tel Aviv.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-l78xPJWUqUQ/U_ykqb8HE4I/AAAAAAAGCi4/s2ChxfLi7GQ/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Raia wa Ethiopia afariki dunia mkoani Pwani
![](http://1.bp.blogspot.com/-l78xPJWUqUQ/U_ykqb8HE4I/AAAAAAAGCi4/s2ChxfLi7GQ/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
RAIA wa nchi ya Ethiopia Dawita Alalo (25) amekufa alipokuwa akipatiwa matibabu kwenye kituo cha afya cha Chalinze kata ya Bwiringu wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Marehemu alikuwa ni kati ya raia 48 wa nchi hiyo walikamatwa wakiwa kwenye msitu wa kijiji cha Visakazi Ubena Zomozi tarafa ya Chalinze Agosti 22 mwaka huu, baada ya kuingia nchini bila ya kibali.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha kaimu kamanda wa polisi mkoani humo Mrakibu...
10 years ago
MichuziWAHAMIAJI HARAMU 64 RAIA WA ETHIOPIA WAKAMATWA MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Wananchi limewakamata Wahamiaji haramu 64 raia wa nchi ya ETHIOPIA (Wahabeshi) katika Kijiji cha KIDOKA, Kata ya KIDOKA, Tarafa ya GOIMA, Wilaya ya na CHEMBA na Mkoa wa DODOMA, mmoja kati yao alikutwa akiwa amefariki dunia aliyetambuliwa kwa jina moja la TAJIRU anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 – 30. Watu hao walikuwa wakisafirishwa kwa Lori lenye namba za usajili T.353 AYW Mitsubishi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania