Virusi vya corona:Rwanda kuwarejesha nyumbani raia wake waliokwama Ulaya na Marekani.
Raia wa Rwanda waliokwama Marekani na Ulaya kutokana na marufuku zilizowekwa za kudhibiti maambukizi wataanza kurudishwa nyumbani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili15 May
Virusi vya Corona: Raia 246 wa Tanzania waliokwama India warejea nyumbani
Bi. Saada raia wa Tanzania aliyekuwa amekwama nchini India. Ameieleza BBC juu ya furaha ya kurejea nyumbani.
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuwabaka raia wakati wa amri ya kutotoka nje
Askari watano wa Rwanda wamekamatwa na wakazi wa kitongoji cha mji mkuu Kigali kwa kudsaiwa kuwabaka wanawake
5 years ago
BBCSwahili11 Apr
Virusi vya corona: Kenya yarekodi visa viwili huku Rwanda 11 wakiruhusiwa kwenda nyumbani
Watu wawili wamepatikana na maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya huku wagonjwa 11 wakitarajiwa kuruhusiwa kwenda nyumbani baada ya kupona virusi hivyo nchini Rwanda.
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya corona: Jinsi virusi vya corona vinavyobadilisha tabia za raia wa Sierre Leone
Sehemu ya kwanza ya kipindi cha Afrika Eye inaangazia mlipuko wa corona unavyobadilisha tabia za raia wa Sierra Leone kuhusu jinsi wanavyoshirikiana
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Bobi Wine ajitolewa kuwarejesha makwao waafrika 'wanaobaguliwa' China
Mwanamuziki na mbunge wa Uganda Kyangulanyi Ssentamu maarufu kama Bobi Wine, amesema kuwa ameungana na mfanyibiashara wa Marekani kuwarejesha nyumbani waafrika wanaodaiwa kubaguliwa China.
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya corona: Kwanini Marekani inataka kusitisha ufadhili wake WHO?
Trump anasema shirika la WHO "limeshindwa kutekeleza majukumu yake muhimu" kukabiliana na mlipuko wa virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Virusi vya corona: Nadharia za uongo kuhusu virusi vya corona kati ya Marekani na China
Tangu mlipuko wa virusi vya corona kutokea nadharia zisizo za kweli kuhusu chimbuko na ukubwa wa janga la corona ni miongoni mwa yaliyoenea kwenye mitandao.
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virusi vya corona: Simulizi ya mlimbwende wa zamani wa Rwanda aliyepona virusi
Viviane Uwizeye anasema binafsi aliwaita wahudumu wa afya baada ya kuhisi ana dalili za Covid-19
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania