Raia wa Ethiopia wapiga kura
Takriban watu miloni 37 wamejiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa kwanza wa Ethiopia tangu kifo cha waziri mkuu Meles Zenawi aliyehudumu kwa kipindi kirefu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Raia wa Togo wapiga kura
Uchaguzi wa urais unaendelea nchini Togo huku rais wa sasa Faure Gnassingbé akigombea muhula wa tatu.
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Raia wapiga kura licha ya ghasia Nigeria
Raia wa Nigeria wamejitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi wa urais na ubunge ,licha ya visa vichache vya ghasia
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Raia wa Rwanda walio ng’ambo wapiga kura
Raia wa Rwanda wanaoishi nje ya nchi wanapiga kura ya maoni ya marekebisho ya katiba, ambayo yakiidhinishwa yatamruhusu Rais Paul Kagame kuwania urais kwa muhula wa tatu.
5 years ago
CCM BlogMSIWAINGIZE RAIA WA KIGENI KATIKA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA
Na Daniel Mwambene
“Msiwaingize raia wa kigeni katika maboresho ya Daftari la Wapiga Kura”DED wa Ileje awataka wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje.
Katika kuhakikisha Watanzania wanashiriki vema kwenye Uchaguzi Mkuu ujao Afisa Mwandikishaji wa wa Jimbo la Uchaguzi la Ileje Ndg.Haji Mnasi aliwataka wakazi wa Halmashauri hiyo kulinda zoezi hilo kutoingiliwa na raia wa nchi jirani.
Mnasi alitoa rai hiyo wakati wa kufungua mafunzo ya siku mbili kwa washiriki 38 watakaohusika na uboreshaji...
5 years ago
MichuziMsiwaingize raia wa kigeni katika maboresho ya Daftari la Wapiga Kura-DED ILEJE
Na Daniel Mwambene
“Msiwaingize raia wa kigeni katika maboresho ya Daftari la Wapiga Kura”DED wa Ileje awataka wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje.
Katika kuhakikisha Watanzania wanashiriki vema kwenye Uchaguzi Mkuu ujao Afisa Mwandikishaji wa wa Jimbo la Uchaguzi la Ileje Ndg.Haji Mnasi aliwataka wakazi wa Halmashauri hiyo kulinda zoezi hilo kutoingiliwa na raia wa nchi jirani.
Mnasi alitoa rai hiyo wakati wa kufungua mafunzo ya siku mbili kwa washiriki 38 watakaohusika na...
“Msiwaingize raia wa kigeni katika maboresho ya Daftari la Wapiga Kura”DED wa Ileje awataka wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje.
Katika kuhakikisha Watanzania wanashiriki vema kwenye Uchaguzi Mkuu ujao Afisa Mwandikishaji wa wa Jimbo la Uchaguzi la Ileje Ndg.Haji Mnasi aliwataka wakazi wa Halmashauri hiyo kulinda zoezi hilo kutoingiliwa na raia wa nchi jirani.
Mnasi alitoa rai hiyo wakati wa kufungua mafunzo ya siku mbili kwa washiriki 38 watakaohusika na...
5 years ago
CCM BlogWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NEC
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Semistocles Kaijage akizungumza wakati wa mkutano na Viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusu mafanikio ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Kwanza kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Nec, Dkt. Wilson Charles Mahera Baadhi ya viongozi wa Vyama vya Siasa na wadau wengine wakisikiliza kwa makini wakati Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Kaijage akihutubia katika mkutano...
5 years ago
MichuziWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI WAPIGA KURA NEC
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Semistocles Kaijage akizungumza wakati wa mkutano na Viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusu mafanikio ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Kwanza kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Nec, Dkt. Wilson Charles Mahera Baadhi ya viongozi wa Vyama vya Siasa na wadau wengine wakisikiliza kwa makini wakati Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Kaijage akihutubia katika mkutano...
9 years ago
Raia Mwema07 Nov
Jinsi wapiga kura wa vijijjini ‘walivyomwibia’ Lowassa kura
Hatimaye uchaguzi umemalizika!
Kitila Mkumbo
10 years ago
Michuziwapiga kura wampongeza jerry silaa kwa kushinda katika kura za maoni jimbo la ukonga
Wananchi wa Jimbo la Ukonga wakiwa nyumbani kwa mgombea ubunge wa jimbo hilo aliyeibuka kidedea, Jerry Silaa.Mgombea Jerry Silaa akishukuru wapiga kura baada ya kuibuka kidedea kwa kupata kura 10,382 huku mshindani wake PATEL Ramesh akipata kura 7355. Mgombea ubunge huyo aliwashukuru wananchi na wanaCCM waliokwenda nyumbani kumpongeza na kuwapongeza wagombea wenzake wote,na kuongeza kuwa wiki moja waliyokuwa pamoja amejifunza mengi, anaamini watashirikiana kufanikisha Ushindi wa CCM October...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania