Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia wa Rwanda walio ng’ambo wapiga kura

Raia wa Rwanda wanaoishi nje ya nchi wanapiga kura ya maoni ya marekebisho ya katiba, ambayo yakiidhinishwa yatamruhusu Rais Paul Kagame kuwania urais kwa muhula wa tatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Raia Mwema

Chadema wasisubiri upepo wa jana kuwavusha ng’ambo hii

MOJAWAPO ya mambo yaliyokuwa yakisubiriwa ni kukabidhiwa Uenyekiti wa CCM Rais John Magufuli.

Lula wa Ndali Mwananzela

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Ethiopia wapiga kura

Takriban watu miloni 37 wamejiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa kwanza wa Ethiopia tangu kifo cha waziri mkuu Meles Zenawi aliyehudumu kwa kipindi kirefu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Togo wapiga kura

Uchaguzi wa urais unaendelea nchini Togo huku rais wa sasa Faure Gnassingbé akigombea muhula wa tatu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapiga kura Rwanda waamua

Raia wa Rwanda wamepiga kura ya maoni kufanyia marekebisho katiba itakayomruhusu Rais Paul Kagame kugombea Urais kwa awamu ya tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wapiga kura licha ya ghasia Nigeria

Raia wa Nigeria wamejitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi wa urais na ubunge ,licha ya visa vichache vya ghasia

 

5 years ago

CCM Blog

MSIWAINGIZE RAIA WA KIGENI KATIKA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA


Na Daniel Mwambene 

“Msiwaingize raia wa kigeni katika maboresho ya Daftari la Wapiga Kura”DED wa Ileje awataka wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje.
Katika kuhakikisha Watanzania wanashiriki vema kwenye Uchaguzi Mkuu ujao Afisa Mwandikishaji wa wa Jimbo la Uchaguzi la Ileje Ndg.Haji Mnasi aliwataka wakazi wa Halmashauri hiyo kulinda zoezi hilo kutoingiliwa na raia wa nchi jirani.
Mnasi alitoa rai hiyo wakati wa kufungua mafunzo ya siku mbili kwa washiriki 38 watakaohusika na uboreshaji...

 

5 years ago

Michuzi

Msiwaingize raia wa kigeni katika maboresho ya Daftari la Wapiga Kura-DED ILEJE

Na Daniel Mwambene 

“Msiwaingize raia wa kigeni katika maboresho ya Daftari la Wapiga Kura”DED wa Ileje awataka wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje.

Katika kuhakikisha Watanzania wanashiriki vema kwenye Uchaguzi Mkuu ujao Afisa Mwandikishaji wa wa Jimbo la Uchaguzi la Ileje Ndg.Haji Mnasi aliwataka wakazi wa Halmashauri hiyo kulinda zoezi hilo kutoingiliwa na raia wa nchi jirani.

Mnasi alitoa rai hiyo wakati wa kufungua mafunzo ya siku mbili kwa washiriki 38 watakaohusika na...

 

5 years ago

Michuzi

WAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI WAPIGA KURA NEC

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Semistocles Kaijage akizungumza wakati wa mkutano na Viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusu mafanikio ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Kwanza kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Nec, Dkt.  Wilson Charles Mahera Baadhi ya viongozi  wa Vyama vya Siasa na wadau wengine wakisikiliza kwa makini wakati Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Kaijage akihutubia katika mkutano...

 

5 years ago

CCM Blog

WAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NEC

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Semistocles Kaijage akizungumza wakati wa mkutano na Viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusu mafanikio ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Kwanza kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Nec, Dkt.  Wilson Charles Mahera Baadhi ya viongozi  wa Vyama vya Siasa na wadau wengine wakisikiliza kwa makini wakati Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Kaijage akihutubia katika mkutano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani