Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema wasisubiri upepo wa jana kuwavusha ng’ambo hii

MOJAWAPO ya mambo yaliyokuwa yakisubiriwa ni kukabidhiwa Uenyekiti wa CCM Rais John Magufuli.

Lula wa Ndali Mwananzela

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Raia wa Rwanda walio ng’ambo wapiga kura

Raia wa Rwanda wanaoishi nje ya nchi wanapiga kura ya maoni ya marekebisho ya katiba, ambayo yakiidhinishwa yatamruhusu Rais Paul Kagame kuwania urais kwa muhula wa tatu.

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA MKUTANO WA CHADEMA JIJINI ARUSHA JANA

Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, ambaye pia ni Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, akihutubia katika mkutano uliofanyika jana kwenye Uwanja vya Samunge, Kilombero jijini Arusha. Makamanda wa Chadema wakifuatilia mkutano…

 

10 years ago

Mwananchi

Takukuru, polisi wasisubiri kuitwa kwenye jinai

Wiki iliyopita tulishuhudia vyombo vya uchunguzi wa serikali za Marekani na Uswisi vikichukua hatua dhidi ya tuhuma za rushwa zinazolikabili Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (Fifa) kwa kufanyia kazi uchunguzi na hatimaye kuwakamata watuhumiwa kwa ajili ya hatua zaidi.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yatamba kuwavusha Watanzania Uchaguzi Mkuu

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mahamudu Madenge, amesema chama hicho kinahitaji mgombea Urais atakayewavusha salama Watanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

GPL

WATU WAZIMA WASAIDIAPO KUWAVUSHA WATOTO BARABARANI

Watoto (kulia) wakijiandaa kuvuka Barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam. Msamaria mwema akiwavusha barabarani  wanafunzi. KUONGEZEKA kwa magari mijini kumekuwa ni tatizo kwa watoto, hususani wanafunzi, katika kuvuka barabara mbalimbali, ambapo watu wazima wana wajibu wa kusaidia kuwaongoza na kuwavusha ili kuepusha…

 

10 years ago

GPL

MKUTANO WA CHADEMA ULIOFANYIKA TANGANYIKA PACKERS KAWE JANA JIJINI DAR

 Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA Mh.Freeman Mbowe akihutubia maelfu ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Tanganyika Parkers Jana, ambapo pia alizindua kitabu cha Mbunge wa jimbo la Kawe Mh. Halima Mdee.  Mh Freeman Mbowe, Halima Mdee na John Mnyika wakizindua kitabu cha Mbunge wa Kawe Mh Halima Mdee  Gwajima akiwa na baadhi ya viongozi wa CHADEMA… ...

 

9 years ago

Habarileo

Taifa Stars kuiendea Algeria ng’ambo

TIMU ya soka ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ inatarajiwa kuweka kambi ya siku 12 nje ya nchi kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya kufuzu Kombe la Dunia na ile ya Mataifa ya Afrika (AFCON). Stars itacheza na Algeria Novemba 17 katika mchezo wa awali wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Urusi mwaka 2018.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani