Takukuru, polisi wasisubiri kuitwa kwenye jinai
Wiki iliyopita tulishuhudia vyombo vya uchunguzi wa serikali za Marekani na Uswisi vikichukua hatua dhidi ya tuhuma za rushwa zinazolikabili Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (Fifa) kwa kufanyia kazi uchunguzi na hatimaye kuwakamata watuhumiwa kwa ajili ya hatua zaidi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8uP3QuvEEOw/VVICTQmhiFI/AAAAAAAHW2U/DvrwQjt4GpE/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Rais Kikwete amteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai, pia amteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola kuongoza Idara ya Intelijensia ya Jinai
![](http://1.bp.blogspot.com/-8uP3QuvEEOw/VVICTQmhiFI/AAAAAAAHW2U/DvrwQjt4GpE/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Robert S. Manumba ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Polisi hawarekodi makosa ya jinai UK
10 years ago
MichuziMAKOSA YA JINAI KIPAUMBELE NA JESHI LA POLISI
9 years ago
MichuziJE WAJUA KUMSHAURI MTU KUTENDA JINAI NAYO NI JINAI ?
10 years ago
Raia Mwema08 Jul
Fedha za jinai zitachagua watawala wa kutetea na kuendeleza jinai
HIVI sasa tumefikia hatua muhimu katika mchakato wa kuchagua watawala wetu watakaotawala nchi na
Jenerali Ulimwengu
10 years ago
Michuzi27 Aug
5 years ago
CCM Blog30 May
MAANDAMANO MAKUBWA KUFUATIA JINAI ZA POLISI WA MAREKANI DHIDI YA WAMAREKANI WEUSI
![Maandamano makubwa kufuatia jinai za polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusi](https://media.parstoday.com/image/4bv9fbe534bf5f1nuyd_800C450.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 May
Masahihisho katika taarifa ya Uteuzi wa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai na Mkurugenzi wa Intelijensia katika Jeshi la Polisi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai (Director of Criminal Investigation).
Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa Kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Isaya J. Mngulu ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EoW4SwwtKdk/XqFhILMKpxI/AAAAAAALn9A/rjXjI3EGoKUmHArbZ-xpgDkfS63GMajJgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
TAKUKURU Njombe yaokoa Bilioni 1,769,161,693.31 kwenye chunguzi zinazohusu AMCOS na SACCOS
Na Amiri kilagalila,Njombe
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Njombe imefanikiwa kuokoa Bilioni 1,769,161,693.31 kutokana na chunguzi zinazohusu AMCOS na SACCOS mkoani humo.
Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Njombe Bi,Domina Mukama ameyasema hayo wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya taasisi hiyo kwa kipindi cha Januari-Machi 2020.
“Jumla ya SACCOS na AMCOS 85 katika mkoa wa Njombe zilikuwa zinachunguzwa 14 Makambako,6 Ludewa,19 Makete,13 Wanging’ombe,35 hapa...