Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia wa Israel kutoka Ethiopia walalama

Polisi wa Israeli waliokuwa wakitumia farasi, walikabiliana vikali na waandamanaji, wakati wa makabiliano katikati mwa mji wa Tel Aviv.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Israel wampinga Netanyahu

Watu zaidi ya elfu 25 wameshiriki kwenye mhadhara mjini Tel Aviv, kumpinga waziri mkuu, Benjamin Netanyahu

 

5 years ago

BBC

Israel gets first Ethiopia-born minister, in Pnina Tamano-Shata

Pnina Tamano-Shata was brought to Israel in a top-secret operation in the early 1980s.

 

10 years ago

BBCSwahili

Udukuzi wampeleka jela raia wa Israel

Mwanaume mmoja nchini Israel,amehukumiwa kifungo cha miezi kumi na nne kwa kosa la kudakua komputa za wanamuziki akiwemo Madonna.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Ethiopia wapiga kura

Takriban watu miloni 37 wamejiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa kwanza wa Ethiopia tangu kifo cha waziri mkuu Meles Zenawi aliyehudumu kwa kipindi kirefu.

 

10 years ago

Michuzi

Raia wa Ethiopia afariki dunia mkoani Pwani

Na John Gagarini, Kibaha
RAIA wa nchi ya Ethiopia Dawita Alalo (25) amekufa alipokuwa akipatiwa matibabu kwenye kituo cha afya cha Chalinze kata ya Bwiringu wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Marehemu alikuwa ni kati ya raia 48 wa nchi hiyo walikamatwa wakiwa kwenye msitu wa kijiji cha Visakazi Ubena Zomozi tarafa ya Chalinze Agosti 22 mwaka huu, baada ya kuingia nchini bila ya kibali.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha kaimu kamanda wa polisi mkoani humo Mrakibu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ethiopia yaomboleza vifo vya Raia wake

Ethiopia imeanza siku tatu za maombolezo ya raia wake zaidi ya ishirini waliouawa kinyama na magaidi wa Islamic State nchini Libya

 

10 years ago

Michuzi

WAHAMIAJI HARAMU 64 RAIA WA ETHIOPIA WAKAMATWA MKOANI DODOMA

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Wananchi limewakamata Wahamiaji haramu 64  raia wa nchi ya ETHIOPIA (Wahabeshi) katika Kijiji cha KIDOKA, Kata ya KIDOKA, Tarafa ya GOIMA, Wilaya ya na CHEMBA na Mkoa wa DODOMA, mmoja kati yao alikutwa akiwa amefariki dunia aliyetambuliwa kwa jina moja la TAJIRU anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 – 30. Watu hao walikuwa wakisafirishwa kwa Lori lenye namba za usajili T.353 AYW Mitsubishi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Marekani yaonya kupigwa raia wa kigeni nchini Ethiopia

Balozi wa Marekani nchini Ethiopia ameonya kuwa wageni wanashambuliwa katika miji kote nchini baada ya kutuhumiwa kuambukizwa Covid-19.

 

10 years ago

Michuzi

RAIA WANNE (4) WA ETHIOPIA MBARONI KWA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI

Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikila watu wanne (4) raia wa Ethiopia kwa tuhuma za kuingia nchini bila kuwa na kibali
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema watu hao wamekamatwa tarehe 26/01/2015 majira ya 15:55hrs katika eneo la Nala kwenye Mzani wa Magari (Weight Bridge) Kata ya Nala Tarafa ya Zuzu Manispaa ya Dodoma wakiwa kwenye basi la Prince Munaa lenye namba za usajili T....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani