Raia wa Israel kutoka Ethiopia walalama
Polisi wa Israeli waliokuwa wakitumia farasi, walikabiliana vikali na waandamanaji, wakati wa makabiliano katikati mwa mji wa Tel Aviv.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Raia wa Israel wampinga Netanyahu
Watu zaidi ya elfu 25 wameshiriki kwenye mhadhara mjini Tel Aviv, kumpinga waziri mkuu, Benjamin Netanyahu
5 years ago
BBC15 May
Israel gets first Ethiopia-born minister, in Pnina Tamano-Shata
Pnina Tamano-Shata was brought to Israel in a top-secret operation in the early 1980s.
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Udukuzi wampeleka jela raia wa Israel
Mwanaume mmoja nchini Israel,amehukumiwa kifungo cha miezi kumi na nne kwa kosa la kudakua komputa za wanamuziki akiwemo Madonna.
10 years ago
BBCSwahili22 May
Raia wa Ethiopia wapiga kura
Takriban watu miloni 37 wamejiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa kwanza wa Ethiopia tangu kifo cha waziri mkuu Meles Zenawi aliyehudumu kwa kipindi kirefu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-l78xPJWUqUQ/U_ykqb8HE4I/AAAAAAAGCi4/s2ChxfLi7GQ/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Raia wa Ethiopia afariki dunia mkoani Pwani
![](http://1.bp.blogspot.com/-l78xPJWUqUQ/U_ykqb8HE4I/AAAAAAAGCi4/s2ChxfLi7GQ/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
RAIA wa nchi ya Ethiopia Dawita Alalo (25) amekufa alipokuwa akipatiwa matibabu kwenye kituo cha afya cha Chalinze kata ya Bwiringu wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Marehemu alikuwa ni kati ya raia 48 wa nchi hiyo walikamatwa wakiwa kwenye msitu wa kijiji cha Visakazi Ubena Zomozi tarafa ya Chalinze Agosti 22 mwaka huu, baada ya kuingia nchini bila ya kibali.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha kaimu kamanda wa polisi mkoani humo Mrakibu...
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Ethiopia yaomboleza vifo vya Raia wake
Ethiopia imeanza siku tatu za maombolezo ya raia wake zaidi ya ishirini waliouawa kinyama na magaidi wa Islamic State nchini Libya
10 years ago
MichuziWAHAMIAJI HARAMU 64 RAIA WA ETHIOPIA WAKAMATWA MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Wananchi limewakamata Wahamiaji haramu 64 raia wa nchi ya ETHIOPIA (Wahabeshi) katika Kijiji cha KIDOKA, Kata ya KIDOKA, Tarafa ya GOIMA, Wilaya ya na CHEMBA na Mkoa wa DODOMA, mmoja kati yao alikutwa akiwa amefariki dunia aliyetambuliwa kwa jina moja la TAJIRU anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 – 30. Watu hao walikuwa wakisafirishwa kwa Lori lenye namba za usajili T.353 AYW Mitsubishi...
5 years ago
BBCSwahili19 Mar
Coronavirus: Marekani yaonya kupigwa raia wa kigeni nchini Ethiopia
Balozi wa Marekani nchini Ethiopia ameonya kuwa wageni wanashambuliwa katika miji kote nchini baada ya kutuhumiwa kuambukizwa Covid-19.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eRJdsIXWmEI/VMjXgVR43RI/AAAAAAAG_5o/WVZpjKgNqO4/s72-c/image061.jpg)
RAIA WANNE (4) WA ETHIOPIA MBARONI KWA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-eRJdsIXWmEI/VMjXgVR43RI/AAAAAAAG_5o/WVZpjKgNqO4/s1600/image061.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikila watu wanne (4) raia wa Ethiopia kwa tuhuma za kuingia nchini bila kuwa na kibali
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema watu hao wamekamatwa tarehe 26/01/2015 majira ya 15:55hrs katika eneo la Nala kwenye Mzani wa Magari (Weight Bridge) Kata ya Nala Tarafa ya Zuzu Manispaa ya Dodoma wakiwa kwenye basi la Prince Munaa lenye namba za usajili T....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania