Raia wa Israel wampinga Netanyahu
Watu zaidi ya elfu 25 wameshiriki kwenye mhadhara mjini Tel Aviv, kumpinga waziri mkuu, Benjamin Netanyahu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Upinzani wampongeza Netanyahu Israel
Kiongozi wa upinzani nchini Israeli Yitzhak Hertzog amempongeza Benjamin Netanyahu kwa ushindi wake katika uchaguzi wa ubunge
11 years ago
BBCSwahili17 Aug
Netanyahu:Usalama wa Israel uzingatiwe
Waziri mkuu nchini Israel asema kuwa hakutakuwa na makubaliano ya kusitishwa vita hadi pale usalama wa Israel utakapozingatiwa.
10 years ago
Michuzi
NETANYAHU AUNDA SERIKALI YA MSETO ISRAEL

Waziri Mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu,ameunda serikali mpya ya mseto kabla ya kumalizika muda uliopangwa kwa kiongozi huyo kuwasilisha serikali yake.Netanyahu alifanikiwa kukishawishi chama cha kiyahudi cha mrengo wa kulia cha Jewish Home Party baada ya Waziri wa Mambo ya Nje katika serikali inayoondoka madarakani, Avigdor Lieberman, kukataa chama chake cha Yisrael Baitenu, kuwa sehemu ya muungano wa Likud.
Makubaliano hayo ya serikali ya mseto...
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Netanyahu atimua mawaziri wawili Israel
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amewatimua mawaziri wawili kwa tuhuma za kula njama dhidi yake
10 years ago
BBCSwahili07 May
Netanyahu aunda serikali ya umoja Israel
Waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu ameunda serikali ya pamoja na chama cha Kiyahudi cha Jewish Home
10 years ago
BBCSwahili04 May
Raia wa Israel kutoka Ethiopia walalama
Polisi wa Israeli waliokuwa wakitumia farasi, walikabiliana vikali na waandamanaji, wakati wa makabiliano katikati mwa mji wa Tel Aviv.
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Udukuzi wampeleka jela raia wa Israel
Mwanaume mmoja nchini Israel,amehukumiwa kifungo cha miezi kumi na nne kwa kosa la kudakua komputa za wanamuziki akiwemo Madonna.
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Israel Habimana: Raia wa Rwanda aliyeuza mali yake kutengeneza bwawa la umeme kwa wanakijiji
Israel Habimana aliuza mali yake kutengeneza umeme unaotumika na familia 200 licha ya kwamba hakusoma
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Wasomi wampinga JK
Wasomi na wachambuzi wa masuala ya kisiasa wameikosoa hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa bungeni juzi, huku wengine wakisema inaweza kulivunja Bunge Maalumu la Mabadiliko ya Katiba.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania