Upinzani wampongeza Netanyahu Israel
Kiongozi wa upinzani nchini Israeli Yitzhak Hertzog amempongeza Benjamin Netanyahu kwa ushindi wake katika uchaguzi wa ubunge
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Raia wa Israel wampinga Netanyahu
Watu zaidi ya elfu 25 wameshiriki kwenye mhadhara mjini Tel Aviv, kumpinga waziri mkuu, Benjamin Netanyahu
10 years ago
BBCSwahili17 Aug
Netanyahu:Usalama wa Israel uzingatiwe
Waziri mkuu nchini Israel asema kuwa hakutakuwa na makubaliano ya kusitishwa vita hadi pale usalama wa Israel utakapozingatiwa.
10 years ago
BBCSwahili07 May
Netanyahu aunda serikali ya umoja Israel
Waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu ameunda serikali ya pamoja na chama cha Kiyahudi cha Jewish Home
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-76ya1h8vNIw/VUugyCkhFvI/AAAAAAAHWNA/suuILdAfgrM/s72-c/0%2C%2C18427825_303%2C00.jpg)
NETANYAHU AUNDA SERIKALI YA MSETO ISRAEL
![](http://2.bp.blogspot.com/-76ya1h8vNIw/VUugyCkhFvI/AAAAAAAHWNA/suuILdAfgrM/s640/0%2C%2C18427825_303%2C00.jpg)
Waziri Mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu,ameunda serikali mpya ya mseto kabla ya kumalizika muda uliopangwa kwa kiongozi huyo kuwasilisha serikali yake.Netanyahu alifanikiwa kukishawishi chama cha kiyahudi cha mrengo wa kulia cha Jewish Home Party baada ya Waziri wa Mambo ya Nje katika serikali inayoondoka madarakani, Avigdor Lieberman, kukataa chama chake cha Yisrael Baitenu, kuwa sehemu ya muungano wa Likud.
Makubaliano hayo ya serikali ya mseto...
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Netanyahu atimua mawaziri wawili Israel
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amewatimua mawaziri wawili kwa tuhuma za kula njama dhidi yake
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
10 years ago
BBCSwahili03 Mar
Netanyahu kuhutubia Congress leo
Waziri wa mambo ya nje wa Israel Banjamin Netanyahu atalihutubia Bunge la Congress leo kuhusu mpango wa Nyuklia wa Iran
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Nuklia:Msimamo wa Netanyahu wakosolewa
Marekani imekosoa kauli ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuwa wameshindwa kushughulikia mpango wa Nuklia wa Iran
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Nyaraka za siri zamuumbua,Netanyahu
Nyaraka za siri zilizochapishwa na gazeti la Guardian la London ambazo Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alizihusisha na mpango wa nyuklia wa Iran zadaiwa kumuumbua.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania