Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NETANYAHU AUNDA SERIKALI YA MSETO ISRAEL

Waziri Mkuu wa Israel,Benjamin Netanyah.
Waziri Mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu,ameunda serikali mpya ya mseto kabla ya kumalizika muda uliopangwa kwa kiongozi huyo kuwasilisha serikali yake.Netanyahu alifanikiwa kukishawishi chama cha kiyahudi cha mrengo wa kulia cha Jewish Home Party baada ya Waziri wa Mambo ya Nje katika serikali inayoondoka madarakani, Avigdor Lieberman, kukataa chama chake cha Yisrael Baitenu, kuwa sehemu ya muungano wa Likud.
Makubaliano hayo ya serikali ya mseto...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Netanyahu aunda serikali ya umoja Israel

Waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu ameunda serikali ya pamoja na chama cha Kiyahudi cha Jewish Home

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Israel wampinga Netanyahu

Watu zaidi ya elfu 25 wameshiriki kwenye mhadhara mjini Tel Aviv, kumpinga waziri mkuu, Benjamin Netanyahu

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani wampongeza Netanyahu Israel

Kiongozi wa upinzani nchini Israeli Yitzhak Hertzog amempongeza Benjamin Netanyahu kwa ushindi wake katika uchaguzi wa ubunge

 

10 years ago

BBCSwahili

Netanyahu:Usalama wa Israel uzingatiwe

Waziri mkuu nchini Israel asema kuwa hakutakuwa na makubaliano ya kusitishwa vita hadi pale usalama wa Israel utakapozingatiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Netanyahu atimua mawaziri wawili Israel

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amewatimua mawaziri wawili kwa tuhuma za kula njama dhidi yake

 

9 years ago

Mtanzania

Rungwe: Nitaunda Serikali ya mseto

RungweNA DEBORA SANJA, DODOMA

 

MGOMBEA urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA), Hashim Rungwe amesema endapo akishinda nafasi hiyo, ataunda Serikali  ya mseto itakayoshirikisha vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana, Rungwe alisema Katiba haikatazi kuundwa kwa Serikali ya aina hiyo.

“Nitachagua watu wenye akili kutoka vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi kwa ajili ya kuunda Serikali, nitapunguza pia ukubwa wa Serikali ili fedha hizo zifanye...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hoja ya serikali ya mseto Ukraine

Bunge limechelewa kuiunda serikali ya mseto kufuatia kung'atuliwa mamlakani rais Viktor Yanukovych, Limetangaza kuiunda Alhamisi.

 

10 years ago

Mwananchi

10 years ago

Mwananchi

MARIDHIANO: Serikali ya Mseto Zanzibar yazua mjadala

>Mustakabali wa uhai wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK), upo shakani kutokana na wananchi kutofautiana kuhusu umuhimu wa kuendelea na mfumo huo wa uongozi, huku baadhi wakitaka iitishwe Kura ya Maoni kuamua hatma ya serikali hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani