Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyaraka za siri zamuumbua,Netanyahu

Nyaraka za siri zilizochapishwa na gazeti la Guardian la London ambazo Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alizihusisha na mpango wa nyuklia wa Iran zadaiwa kumuumbua.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

TATUU ZAMUUMBUA ESHA BUHETI

LICHA ya kula kiapo kuwa hatokuja kujichora tatuu ya aina yoyote mwilini mwake miezi kadhaa iliyopita, staa wa filamu Bongo, Esha Buheti hivi karibuni ameumbuka baada ya kunaswa akiwa na tatuu kibao mwilini mwake. Staa wa filamu Bongo, Esha Buheti. Tukio hilo lilitokea kwenye bethidei ya mwigizaji Wema Sepetu iliyofanyika katika Ukumbi wa Wema, Kijitonyama jijini Dar ambapo paparazi wetu baada ya kumfoitoa picha kadhaa mrembo...

 

9 years ago

Bongo Movies

Tatuu Zamuumbua Esha Buheti

BAADA ya hivi karibuni wasanii wa filamu waliokuwa wapenzi, Wastara Juma na Bond Suleiman kutengana, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ameibuka na kumshauri staa huyo kukubaliana na matokeo.

Aunty Lulu aliyewahi kuwa mpenzi wa Bond, alimtaka mwenzake kukubaliana na matokeo kwani huenda muda ndiyo umefika na katika mapenzi, hilo ni jambo la kawaida.

“Sina la kuzungumza juu ya Bond maana sihusiani naye, mapenzi yalikuwa zamani ila kama uchumba umevunjika basi namshauri Wastara akubaliane tu na...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI

Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]

The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

BBCSwahili

Netanyahu awasili Marekani

Waziri Mkuu wa Israel anatarajiwa kulihutubia Bunge la Cobgress

 

10 years ago

BBCSwahili

Netanyahu ashtumu ubaguzi Israeli

Benjamin Netanyahu ameelezea mshangao wake binafsi kwa mwanajeshi wa Israeli wa asili ya Ethiopia ambaye alipigwa na polisi wa Israeli

 

9 years ago

BBCSwahili

Ujerumani yapinga madai ya Netanyahu

Ujerumani imesisitiza kwamba ndiyo inayowajibika kwa mauaji ya Wayahudi wakati wa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahmoud Abbas,Netanyahu waandamana

Mfalme wa Jordan na Rais wa Palestinian Mahmoud Abbas wameshiriki maandamano yaliyofanyika mjini Paris Ufaransa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Israel wampinga Netanyahu

Watu zaidi ya elfu 25 wameshiriki kwenye mhadhara mjini Tel Aviv, kumpinga waziri mkuu, Benjamin Netanyahu

 

10 years ago

BBCSwahili

Netanyahu ashutumu Palestina na Hamas

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amewataka Waisrael kuungana bila kujichukulia sheria mkononi mwao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani