Udukuzi wampeleka jela raia wa Israel
Mwanaume mmoja nchini Israel,amehukumiwa kifungo cha miezi kumi na nne kwa kosa la kudakua komputa za wanamuziki akiwemo Madonna.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo28 Aug
Wizi wampeleka jela miaka 15
MENEJA Rasilimali Watu wa Kampuni ya Scania Tanzania Ltd, Didier Mlawa (38) amehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela baada ya kupatikana na hatia ya kughushi na kuiba Sh milioni 177.3.
10 years ago
Habarileo16 Jun
Wivu wampeleka jela miaka mitatu
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, imemhukumu Rebecca Nyangolema (30) kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya Sh 350,000 baada ya kupatikana na hatia ya kumshambulia kwa maji ya moto mlalamikaji na kumsababishia maumivu.
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Raia wa Israel wampinga Netanyahu
10 years ago
BBCSwahili04 May
Raia wa Israel kutoka Ethiopia walalama
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Kiongozi wa zamani Israel Ehud Olmert kufungwa jela
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Waziri mkuu wa zamani wa Israel ahukumiwa kwenda jela
Ehud Olmert
Jerusalem, Israel
Mahakama Kuu ya Israel, imemhukumu aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo kuanzia mwaka 2006-2009, Ehud Olmert kifungo cha miezi 18 jela baada ya kukutwa na hatia kwenye makosa ya kula rushwa yaliyokuwa yanamkabili.
Awali, Mei, 2014, Olmert alihukumiwa kifungo cha miaka 6 jela kufuatia kukutwa na hatia katika makosa ya kupokea rushwa katika kipindi cha 1993 hadi 2003 alipokuwa Meya wa Jiji la Jerusalem. Baada ya hukumu ya awali, Olmert alikata rufaa na baada ya...
10 years ago
Habarileo30 May
Raia 4 wa Burundi watupwa jela
RAIA wanne wa Burundi wamehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kila mmoja, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuishi nchini bila ya kuwa na kibali.
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Raia wa india jela miaka mitatu
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Israel Habimana: Raia wa Rwanda aliyeuza mali yake kutengeneza bwawa la umeme kwa wanakijiji