Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Takriban Watu 24 wafa maji Uturuki

Takriban wahamiaji 24 wamekufa maji baada ya Boti waliokua wakisafiria kuzama baharini nchini Uturuki

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 17 wafa maji wakielekea Uturuki

Wahamiaji 17 wamekufa maji baharini muda mfupi baada yao kutoka Uturuki wakielekea Ugiriki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 400 wafa maji wakielekea Italia

Kundi la wahamiaji manusura waliokolewa kutoka kwa bahari ya Mediterenia limewasili Italia

 

5 years ago

BBCSwahili

Watu 40 wafa maji katika mafuriko DRC

Nyumba 5,500 zimesombwa na maji ya mafuriko hayo yaliyowaathiri watu 77,790.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uturuki yaomboleza vifo takriban 95

Maelfu ya Watu wamekusanyika mjini Ankara nchini Uturuki kuomboleza kwa ajili ya Watu takriban 95 waliouawa kwa mabomu

 

10 years ago

BBCSwahili

Takriban watu 20 wapoteza maisha India

Treni mbili zimekosea njia huko nchini India na kutumbukia katika mto nchini India

 

10 years ago

BBCSwahili

Takriban watu 100 wauawa Iraq

Inahofiwa kuwa takriban watu 100 wakiwemo watoto kadha wameuawa kwenye shambulizi la bomu mashariki mwa Iraq

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachimba mgodi 157 wafa Uturuki

Mlipuko katika mgodi wa makaa ya mawe magharibi mwa Uturuki umesababisha vifo vya 157 na kujeruhi wengine 70 .

 

10 years ago

Dewji Blog

Takriban watu 1000 wamekufa kutokana na wimbi la joto linalovuma nchini India.

1270976373314773061

Watafiti wamesajili kiwango cha juu mno cha nyuzijoto 48’C katika maeneo mengi nchini humo ambapo vifo vingi zaidi vimeripotiwa katika majimbo ya kusini ya Telangana na Andhra Pradesh, ambapo watu 140 wamepoteza maisha yao kuanzia jumamosi wimbi hilo la joto lilipotokea hata hivyo hadi kufia leo Mei 27, tayari zaidi ya watu 1,000, wamelipotiwa kupoteza maisha yao.

Mji wa Allahabad ulioko Uttar Pradesh ulisajili vipimo vya nyuzijoto 48C huku wakaazi wa mji mkuu wa India New Delhi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mamia ya wahamiaji wafa maji

Mamia ya wahamiaji wamekufa maji wakati wakijaribu kuelekea nchini Italia kupitia Bahari ya Meditarian.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani