Watu 400 wafa maji wakielekea Italia
Kundi la wahamiaji manusura waliokolewa kutoka kwa bahari ya Mediterenia limewasili Italia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Wahamiaji 17 wafa maji wakielekea Uturuki
Wahamiaji 17 wamekufa maji baharini muda mfupi baada yao kutoka Uturuki wakielekea Ugiriki.
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Wahamiaji 22 wafa maji wakielekea Ugiriki
Wahamiaji 22, wengi wao watoto, wamekufa maji wakijaribu kufika visiwa vya Kalymnos na Rhodes nchini Ugiriki wakitokea Uturuki.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bRI2nEu3Dvo/XncDGZBvpvI/AAAAAAALkq8/YkKUjFk8DG8LMGbAfO1Eq-R5xgETaVHmgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv719bf73fc411mdqc_800C450.jpg)
Italia yavunja tena rekodi, watu 793 wafa siku moja kwa corona, Ulaya yazidi kulemewa na vifo na maambukizi
![](https://1.bp.blogspot.com/-bRI2nEu3Dvo/XncDGZBvpvI/AAAAAAALkq8/YkKUjFk8DG8LMGbAfO1Eq-R5xgETaVHmgCLcBGAsYHQ/s640/4bv719bf73fc411mdqc_800C450.jpg)
Shirika la ha habari la Tasnim limelinukuu shirika la habari la AFP likitangaza habari hiyo na kuongeza kuwa, Wakala wa Kuwalinda Raia wa Italia ulisema jana kuwa, idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na kirusi cha corona nchini humo ilikuwa ni 793...
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Takriban Watu 24 wafa maji Uturuki
Takriban wahamiaji 24 wamekufa maji baada ya Boti waliokua wakisafiria kuzama baharini nchini Uturuki
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Watu 40 wafa maji katika mafuriko DRC
Nyumba 5,500 zimesombwa na maji ya mafuriko hayo yaliyowaathiri watu 77,790.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yX2dlQkxsNQ/Xkupu075QPI/AAAAAAAAfvI/AaJ46wEkAuciVctB80W0EpeP1LFW7FWYwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_8205.jpeg)
NG'OMBE 1,400 WALIOAMRIWA NA MAHAKAMA KURUDISHIWA WAFUGAJI SIMIYU WAFA NDANI YA PORI LA AKIBA LA MASWA
ZAIDI ya ng’ombe 1, 400 wa wafugaji wa Wilaya za Itilima na Meatu mkoani Simiyu wamekufa mikononi mwa Maafisa wa Pori la Akiba la Maswa baada ya kushikiliwa hifadhini kwa kipindi cha miaka mitatu bila kupatiwa huduma muhimu za chanjo, dawa, maji na malisho licha ya Mahakama kutoa hukumu kwa wamiliki kurejeshewa mifugo yao.Wafugaji hao wamesema tangu mwaka 2017 ng’ombe 1, 484 walikamatwa kwa madai kuwa walikuwa ndani ya pori hilo na kwamba licha Mahakama kuamuru warudishiwe ng’ombe wao...
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Wahamiaji 70 wafa maji Yemen.
Watu 70 wamekufa baada ya boti iliyokuwa imejaza wahamiaji haramu kupinduka baharini magharibi mwa Yemen.
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Wawili wafa maji Dar
MWANAFUNZI wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Galanos, mkoani Tanga, Abdulrazaki Mziray (19), amekufa maji wakati akiogelea. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema tukio hilo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania