Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahamiaji 70 wafa maji Yemen.

Watu 70 wamekufa baada ya boti iliyokuwa imejaza wahamiaji haramu kupinduka baharini magharibi mwa Yemen.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mamia ya wahamiaji wafa maji

Mamia ya wahamiaji wamekufa maji wakati wakijaribu kuelekea nchini Italia kupitia Bahari ya Meditarian.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 17 wafa maji wakielekea Uturuki

Wahamiaji 17 wamekufa maji baharini muda mfupi baada yao kutoka Uturuki wakielekea Ugiriki.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 22 wafa maji wakielekea Ugiriki

Wahamiaji 22, wengi wao watoto, wamekufa maji wakijaribu kufika visiwa vya Kalymnos na Rhodes nchini Ugiriki wakitokea Uturuki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 40 wafa maji pwani ya Italy

Zaidi ya watu 40 wamekufa maji katika pwani ya Sicily nchini Itali

 

10 years ago

KwanzaJamii

ZAIDI YA WAHAMIAJI 200 WAFA MAJI WAKITOKEA LIBYA

Wahamiaji wengi kutoka Libya wameripotiwa kupoteza maisha yao baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzamaikielekea upande wa Italia. Kwa mujibu wa wanajeshi wa majini wa Libya, watu hao walikuwa wakijaribu kuvuka kuelekea Ulaya. Msemaji wa majeshi ya majini ya Libya, Ayub Qassem amethibitisha watu 36 wameokolewa baada ya mashua yao iliyokuwa imebeba watu 250 ilipozama karibu na eneo la Tajoura, mashariki mwa Tripoli. Hata hivyo, amefichua ya kwamba maiti nyingi bado zinaelea...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji haramu 40 wazama Yemen

Serikali ya Yemen imesema zaidi ya wahamiaji 40 wa Kiafrika wamezama baada ya mashua yao kuzama pwani ya Kusini mwa nchi hiyo

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 200 wafa bahari ya Mediterani

Zaidi ya wahamiaji 200 wamekufa baada ya boti walizokuwa wakisafiria kuzama katika bahari ya Mediterani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa maji Dar

MWANAFUNZI wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Galanos, mkoani Tanga, Abdulrazaki Mziray (19), amekufa maji wakati akiogelea. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema tukio hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani