Wawili wafa maji Dar
MWANAFUNZI wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Galanos, mkoani Tanga, Abdulrazaki Mziray (19), amekufa maji wakati akiogelea. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema tukio hilo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Msaidizi wa IGP na familia yake wafa maji, basi laua wawili
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Wawili wafa Dar
WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam likiwemo la mtoto kutumbukia kwenye karo la maji machafu. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, Kamanda Msaidizi wa Polisi...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Wawili wafa ajalini Dar
WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia juzi jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema kuwa juzi saa 4 asubuhi, katika Barabara ya...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Wawili wafa vifo vya utata Dar
WATU wawili wamefariki Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la John Andrea (71) mkazi wa Maweni Temeke. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke Englibert Kiondo alisema tukio hilo lilitokea...
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Watoto waliotoroka Dar, wafa maji Bukoba
WATOTO wawili wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefariki dunia juzi walipokuwa wakiogelea kwenye Ziwa Victoria, eneo la gati la Kishimba mjini Bukoba. Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, George Mayunga,...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Wawili wafa mgodini
WATU wawili wamefariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya kuporomoka na kuanguka ndani ya shimo la kuchimba dhahabu la Gokona la mgodi wa dhahabu wa North Mara uliopo katika Kijiji...
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Wanafunzi wawili wafa wakiogelea
WANAFUNZI wawili wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Goba, Dar es Salaam, wamefariki dunia juzi wakati wakiogelea. Wanafunzi hao wametajwa kuwa ni Frank Charles (11) na Videson Peter...
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Jimbo la Ubungo wafa wawili
10 years ago
Habarileo10 Apr
Wawili wafa kwa risasi
WATU wawili kati ya sita wanaoshikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya watu mbalimbali wamekufa kutokana na majeraha ya risasi wakati wakijaribu kutoroka.