Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wawili wafa maji Dar

MWANAFUNZI wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Galanos, mkoani Tanga, Abdulrazaki Mziray (19), amekufa maji wakati akiogelea. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema tukio hilo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Msaidizi wa IGP na familia yake wafa maji, basi laua wawili

Watu wanane akiwamo msaidizi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi, Mkaguzi wa Polisi, Gerald Ryoba na familia yake wamekufa baada ya kusombwa na maji katika eneo la Kibaigwa wilayani Kongwa baada ya mvua kubwa iliyonyesha katika eneo hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa Dar

WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam likiwemo la mtoto kutumbukia kwenye karo la maji machafu. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, Kamanda Msaidizi wa Polisi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa ajalini Dar

WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia juzi jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema kuwa juzi saa 4 asubuhi, katika Barabara ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa vifo vya utata Dar

WATU wawili wamefariki Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la John Andrea (71) mkazi wa Maweni Temeke. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke  Englibert Kiondo alisema tukio hilo lilitokea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto waliotoroka Dar, wafa maji Bukoba

WATOTO wawili wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefariki dunia juzi walipokuwa wakiogelea kwenye Ziwa Victoria, eneo la gati la Kishimba mjini Bukoba. Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, George Mayunga,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa mgodini

WATU wawili wamefariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya kuporomoka na kuanguka ndani ya shimo la kuchimba dhahabu la Gokona la mgodi wa dhahabu wa North Mara uliopo katika Kijiji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi wawili wafa wakiogelea

WANAFUNZI wawili wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Goba, Dar es Salaam, wamefariki dunia juzi wakati wakiogelea. Wanafunzi hao wametajwa kuwa ni Frank Charles (11) na Videson Peter...

 

11 years ago

Mwananchi

Jimbo la Ubungo wafa wawili

Mbunge wa Ubungo (Chadema) jijini Dar es Salaaam, John Mnyika amesema mvua zinazonyesha jijini humo zimesababisha vifo vya watu wawili na uharibifu wa miundombinu ya barabara.

 

10 years ago

Habarileo

Wawili wafa kwa risasi

Kamanda wa Polisi Kagera, Henry MwaibambeWATU wawili kati ya sita wanaoshikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya watu mbalimbali wamekufa kutokana na majeraha ya risasi wakati wakijaribu kutoroka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani