Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi wawili wafa wakiogelea

WANAFUNZI wawili wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Goba, Dar es Salaam, wamefariki dunia juzi wakati wakiogelea. Wanafunzi hao wametajwa kuwa ni Frank Charles (11) na Videson Peter...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PADRI, WENGINE WAWILI WAFA WAKIOGELEA

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela. Watu watatu wamekufa maji akiwamo Padri wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Same, Amedeus Mangia na wengine tisa kuokolewa baada ya kupigwa na dhoruba kali wakati wakiogelea kwenye Bwawa la Nyumba ya Mungu lililopo wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.
Akizungumza kwa njia ya simu jana, Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Shaibu Ndemanga, alisema kuwa tukio hilo limetokea juzi na kwamba...

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi wa Goba wafa wakiogelea

WANAFUNZI wawili wa Shule ya Msingi Goba, wamekufa baada ya kuzama wakati wakiogelea katika dimbwi la maji ya mvua. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema wanafunzi hao ni Frank Charles (11) na Videson Peter (11).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi wawili CBE wafa ajalini

WANAFUNZI wawili wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika ajali ya gari iliyotokea katika viwanja vya Shabaha. Akizungumzia ajali hiyo, Kamanda wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Papa wavamia ufukweni na kushambulia mabinti wawili waliokuwa wakiogelea!!

shark-attack-01-1024Emergency responders help a teenage girl following a shark attack in Oak Island, North Carolina

Two teenagers were mauled by sharks in separate attacks within the same area on a North Carolina beach Sunday.

The attacks occurred on a beach in Oak Island, North Carolina, a town about 30 miles from Wilmington, ABC News reports. The victims were a 13-year-old girl and a 16-year-old boy, both suffering extreme injuries.

The girl had her left arm amputated below the elbow when she was bitten by a...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa Dar

WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam likiwemo la mtoto kutumbukia kwenye karo la maji machafu. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, Kamanda Msaidizi wa Polisi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa mgodini

WATU wawili wamefariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya kuporomoka na kuanguka ndani ya shimo la kuchimba dhahabu la Gokona la mgodi wa dhahabu wa North Mara uliopo katika Kijiji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa ajalini Dar

WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia juzi jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema kuwa juzi saa 4 asubuhi, katika Barabara ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mashabiki wawili wafa Algeria

Watu wawili wamekufa wengine kujeruhiwa wakati wakishangilia ushindi wa kihistoria wa Algeria dhidi ya Russia Alhamisi iliyopita.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa, wengine wajeruhiwa

WATU wawili wamefariki dunia akiwamo mtoto na wengine kujeruhiwa kwa mapanga katika matukio tofauti yaliyotokea katika Wilaya za Tarime na Rorya mkoani Mara. Akielezea matukio hayo jana, Kaimu Kamanda wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani