PADRI, WENGINE WAWILI WAFA WAKIOGELEA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Geofrey-Kamwela-December5-2014.jpg?width=650)
Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela. Watu watatu wamekufa maji akiwamo Padri wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Same, Amedeus Mangia na wengine tisa kuokolewa baada ya kupigwa na dhoruba kali wakati wakiogelea kwenye Bwawa la Nyumba ya Mungu lililopo wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro. Akizungumza kwa njia ya simu jana, Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Shaibu Ndemanga, alisema kuwa tukio hilo limetokea juzi na kwamba...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Wanafunzi wawili wafa wakiogelea
WANAFUNZI wawili wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Goba, Dar es Salaam, wamefariki dunia juzi wakati wakiogelea. Wanafunzi hao wametajwa kuwa ni Frank Charles (11) na Videson Peter...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wawili wafa, wengine wajeruhiwa
WATU wawili wamefariki dunia akiwamo mtoto na wengine kujeruhiwa kwa mapanga katika matukio tofauti yaliyotokea katika Wilaya za Tarime na Rorya mkoani Mara. Akielezea matukio hayo jana, Kaimu Kamanda wa...
11 years ago
Habarileo21 Apr
Wanafunzi wa Goba wafa wakiogelea
WANAFUNZI wawili wa Shule ya Msingi Goba, wamekufa baada ya kuzama wakati wakiogelea katika dimbwi la maji ya mvua. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema wanafunzi hao ni Frank Charles (11) na Videson Peter (11).
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
Papa wavamia ufukweni na kushambulia mabinti wawili waliokuwa wakiogelea!!
Emergency responders help a teenage girl following a shark attack in Oak Island, North Carolina
The attacks occurred on a beach in Oak Island, North Carolina, a town about 30 miles from Wilmington, ABC News reports. The victims were a 13-year-old girl and a 16-year-old boy, both suffering extreme injuries.
The girl had her left arm amputated below the elbow when she was bitten by a...
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Ajali yaua padri na wengine wanne
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
WATU watano, akiwemo Padri wa Kanisa Katoliki, Paulo Mwanyalila, wamefariki dunia katika ajali mbili tofauti zilizotokea mkoani Mbeya.
Katika ajali hiyo iliyomwua Padri Mwanyanyila, gari lenye namba za usajili T241 BKZ aina ya Toyota Coaster, liligongana na gari liingine ambalo haijafahamika aina wala namba zake za usajili.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema ajali hiyo ilitokea juzi saa moja jioni katika barabara ya Mbeya- Tukuyu, eneo la...
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Abiria 10 wafa, wengine watafutwa
11 years ago
Habarileo21 Jan
Mkurugenzi wa mradi, wengine 2 wafa maji Chamwino
WATU watatu akiwemo Mkurugenzi wa Mradi wa Mwanzo Bora wamekufa maji jana katika Kijiji cha Mahama Tarafa ya Chilonwa Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji na kupinduka.
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Wawili wafa mgodini
WATU wawili wamefariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya kuporomoka na kuanguka ndani ya shimo la kuchimba dhahabu la Gokona la mgodi wa dhahabu wa North Mara uliopo katika Kijiji...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Wawili wafa Dar
WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam likiwemo la mtoto kutumbukia kwenye karo la maji machafu. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, Kamanda Msaidizi wa Polisi...