Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi wa Goba wafa wakiogelea

WANAFUNZI wawili wa Shule ya Msingi Goba, wamekufa baada ya kuzama wakati wakiogelea katika dimbwi la maji ya mvua. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema wanafunzi hao ni Frank Charles (11) na Videson Peter (11).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi wawili wafa wakiogelea

WANAFUNZI wawili wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Goba, Dar es Salaam, wamefariki dunia juzi wakati wakiogelea. Wanafunzi hao wametajwa kuwa ni Frank Charles (11) na Videson Peter...

 

10 years ago

GPL

PADRI, WENGINE WAWILI WAFA WAKIOGELEA

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela. Watu watatu wamekufa maji akiwamo Padri wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Same, Amedeus Mangia na wengine tisa kuokolewa baada ya kupigwa na dhoruba kali wakati wakiogelea kwenye Bwawa la Nyumba ya Mungu lililopo wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.
Akizungumza kwa njia ya simu jana, Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Shaibu Ndemanga, alisema kuwa tukio hilo limetokea juzi na kwamba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi wafa wakikimbia mchakamchaka

WANAFUNZI watano wa Sekondari ya Mustapha Sabodo wamefariki dunia baada ya kugongwa na gari aina ya Mercedes Benz lenye namba za usajili T 174 AED lililokuwa likiendeshwa na Baraka Mgwegwe...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi wawili CBE wafa ajalini

WANAFUNZI wawili wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika ajali ya gari iliyotokea katika viwanja vya Shabaha. Akizungumzia ajali hiyo, Kamanda wa...

 

10 years ago

Habarileo

Majambazi 5 wauawa wakiogelea mtoni

WATU watano wanaosadikiwa kuwa majambazi, wamepigwa kwa mawe hadi kufa wakijaribu kutoroka nguvu za umma kwa kutumia Mto Mara, wilayani Tarime huku wakiwa na bunduki mbili zinazotumika vitani aina ya sub machine gun (SMG).

 

11 years ago

Mwananchi

Watoto watatu wafariki dunia wakiogelea Dar

Simanzi na vilio jana vilitawala katika Mtaa wa Kijitonyama Mpakani A, baada ya watoto watatu wa familia jirani kufariki dunia baada ya kuzama katika bwawa la kuogelea walipokuwa wakisherehekea siku ya kuzaliwa mtoto mwenzao aliyetimiza mwaka mmoja.

 

9 years ago

Michuzi

KIWANJA KIZURI NA KIKUBWA KINAUZWA GOBA

    Kimepimwa    Kipo mita 800 kutoka barabara kuu ya lami ya Goba.    Majirani pia wamepima    Kimezungukwa na nyumba zenye hadhi nzuri    Ukubwa ni square meter 1939.    Ni kilometres saba toka mlimani city na saba toka mbezi beach tangibovu    Bei ni Million 90.     Hamna dalali
Kuwasiliana na mmiliki wa kiwanja piga kwenye  0766 888 333

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barabara ya Goba, suluhu ya msongamano Dar es Salaam

MIAKA miwili iliyopita katika Jiji la Dar es Salaam, ilikuwa ni vigumu kumuuliza mtu swali la eneo la Goba lilipo, akakujibu kwa haraka, jibu rahisi walilokuwa nalo watu wengi ni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Papa wavamia ufukweni na kushambulia mabinti wawili waliokuwa wakiogelea!!

shark-attack-01-1024Emergency responders help a teenage girl following a shark attack in Oak Island, North Carolina

Two teenagers were mauled by sharks in separate attacks within the same area on a North Carolina beach Sunday.

The attacks occurred on a beach in Oak Island, North Carolina, a town about 30 miles from Wilmington, ABC News reports. The victims were a 13-year-old girl and a 16-year-old boy, both suffering extreme injuries.

The girl had her left arm amputated below the elbow when she was bitten by a...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani