Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIWANJA KIZURI NA KIKUBWA KINAUZWA GOBA

    Kimepimwa    Kipo mita 800 kutoka barabara kuu ya lami ya Goba.    Majirani pia wamepima    Kimezungukwa na nyumba zenye hadhi nzuri    Ukubwa ni square meter 1939.    Ni kilometres saba toka mlimani city na saba toka mbezi beach tangibovu    Bei ni Million 90.     Hamna dalali
Kuwasiliana na mmiliki wa kiwanja piga kwenye  0766 888 333

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KIWANJA KINAUZWA

Kiwanja kinauzwa kipo mbweni Block 1, kimepimwa na kina hati halali. Ukubwa ni square meters 920(Middle Density).
Kiwanja kipo karibu na barabara  kuu ya lami na kituo  cha basi Kiwanja hiki ni kizuri kwa ujenzi wa nyumba ya kuishi.
Anayeuza ni mmiliki halali wa kiwanja hicho na bei ni shilingi Milioni 100. 
Kwa mawasiliano zaidi piga simu: 0717 935322.Au kwa barua pepe: fmaua@aol.com

 

11 years ago

GPL

KIWANJA KINAUZWA BAGAMOYO

Kiwanja kinauzwa, kiko Bagamoyo Ukuni jirani na standi kuu ya mabasi yaendayo mikoani, kina square meter 2,400, kinafaa kwa ujenzi wa shule, hoteli na aina nyingine ya uwekezaji. Kina hati, bei ni maelewano. Kwa maelezo zaidi piga simu: +255 657…

 

10 years ago

Michuzi

kiwanja kinauzwa pugu, dar es salaam

 Ukubwa: mita 20 kwa 36 ( 20m X 36m )Eneo: Bangulo CCM, Pugu Dar es SalaamBei: Milioni 9 na laki 5  ( 9.5m/- ) Tshs/Mawasiliano: +255 657 582 510 

 

9 years ago

Michuzi

kiwanja kinauzwa tegeta wazo Dar es salaam

 KIWANJA KINAUZWA NUSU HEKARI, KIMEPIMWA, KIPO, TEGETA WAZO, DAR ES SALAAM.  BEI NI TSH 70M, KWA MAWASILIANO PIGA, No.0784-577087 Kisali.

 

10 years ago

Michuzi

Kiwanja kinauzwa Bunju-Mabwepande, Dar es Salaam

Ukubwa: 447 msqEneo : Bunju-Mabwepande, Dar es SalaamKimepimwa na kina hati halaliBei: TSH. 8.9 million Mawasiliano: 0657 582 510

 

11 years ago

Mwananchi

kilichowasilisha wazo la mbunifu ndicho kizuri

Unapotaja orodha ya wabunifu wa viatu, wanaofanya vizuri katika fani hiyo nchini, huwezi kuliweka pembeni jina la Gabriel Ole Mollel (pichani kulia)

 

5 years ago

Michuzi

Meridianbet sasa inakuletea kitu kingine kizuri, kufurahia ubashiri

WAKATI Euro 2020 ikiwa imeahirishwa, Meridianbet sasa inakuletea kitu kingine kizuri zaidi wewe kuendelea kufurahia ubashiri. PES inakupa fursa nzuri ya kupata pesa kibao, ukiwa na Meridianbet unaweza kubashiri kwenye mechi kutoka vilabu vya vikubwa ulimwenguni na sasa – timu za taifa!
Bashiri matokeo ya mechi zako pendwa za PES zinazochezwa na wachezaji wa soka na timu halisi! Hizi tayari ni timu kubwa na majina makubwa ambayo tayari ulikuwa ukibashiri kabla.
Meridianbet.co.tz inakupa ofa...

 

9 years ago

Bongo5

Cassim adai kuzipa exclusive TV za nje kabla ya nyumbani si kitu kizuri

Mwenyekiti wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dr. Fatma Mrisho

Hitmaker wa Subira, Cassim Mganga amesema haoni kama ni ufahari kupeleka video yake ikaoneshwe kama exclusive kwenye vituo vya runinga vya nje na kuwaacha watanzania wengi wakisubiria.

Kassim Mganga

Akizungumza na Bongo5, Cassim amesema haoni uzito wa suala hilo kama ambavyo wengine wanavyolichukulia.

“Mimi na video yangu ya Subira nilisema nisianzie huko, kwanini mtu upate exclusive huko ndio uonekane kwamba wewe unakwenda kimataifa?” amehoji.

“Hata hapa nyumbani ni kimataifa vile vile wanaweza...

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi wa Goba wafa wakiogelea

WANAFUNZI wawili wa Shule ya Msingi Goba, wamekufa baada ya kuzama wakati wakiogelea katika dimbwi la maji ya mvua. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema wanafunzi hao ni Frank Charles (11) na Videson Peter (11).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani