Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIWANJA KINAUZWA BAGAMOYO

Kiwanja kinauzwa, kiko Bagamoyo Ukuni jirani na standi kuu ya mabasi yaendayo mikoani, kina square meter 2,400, kinafaa kwa ujenzi wa shule, hoteli na aina nyingine ya uwekezaji. Kina hati, bei ni maelewano. Kwa maelezo zaidi piga simu: +255 657…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KIWANJA KINAUZWA

Kiwanja kinauzwa kipo mbweni Block 1, kimepimwa na kina hati halali. Ukubwa ni square meters 920(Middle Density).
Kiwanja kipo karibu na barabara  kuu ya lami na kituo  cha basi Kiwanja hiki ni kizuri kwa ujenzi wa nyumba ya kuishi.
Anayeuza ni mmiliki halali wa kiwanja hicho na bei ni shilingi Milioni 100. 
Kwa mawasiliano zaidi piga simu: 0717 935322.Au kwa barua pepe: fmaua@aol.com

 

9 years ago

Michuzi

KIWANJA KIZURI NA KIKUBWA KINAUZWA GOBA

    Kimepimwa    Kipo mita 800 kutoka barabara kuu ya lami ya Goba.    Majirani pia wamepima    Kimezungukwa na nyumba zenye hadhi nzuri    Ukubwa ni square meter 1939.    Ni kilometres saba toka mlimani city na saba toka mbezi beach tangibovu    Bei ni Million 90.     Hamna dalali
Kuwasiliana na mmiliki wa kiwanja piga kwenye  0766 888 333

 

10 years ago

Michuzi

kiwanja kinauzwa pugu, dar es salaam

 Ukubwa: mita 20 kwa 36 ( 20m X 36m )Eneo: Bangulo CCM, Pugu Dar es SalaamBei: Milioni 9 na laki 5  ( 9.5m/- ) Tshs/Mawasiliano: +255 657 582 510 

 

10 years ago

Michuzi

Kiwanja kinauzwa Bunju-Mabwepande, Dar es Salaam

Ukubwa: 447 msqEneo : Bunju-Mabwepande, Dar es SalaamKimepimwa na kina hati halaliBei: TSH. 8.9 million Mawasiliano: 0657 582 510

 

9 years ago

Michuzi

kiwanja kinauzwa tegeta wazo Dar es salaam

 KIWANJA KINAUZWA NUSU HEKARI, KIMEPIMWA, KIPO, TEGETA WAZO, DAR ES SALAAM.  BEI NI TSH 70M, KWA MAWASILIANO PIGA, No.0784-577087 Kisali.

 

10 years ago

Michuzi

kwanja kinauzwa kiharaka, bagamoyo, mkoa wa pwani

 Kiwanja kina ukubwa wa 7,720 sqm ( Zaidi ya acre moja na nusu), Kipo Kiharaka, Bagamoyo umbali wa kama 5km kutoka baharini. Kina ardhi nzuri yenye rutuba, kipo tambalale. Kipo karibu na mradi mpya wa kumbi za mikutano na pia karibu na kivuko kipya cha Bagamoyo kwenda Posta. Nguzo za umeme  na maji ya dawasco yako karibu. Bei ya kiwanja ni Tshs 395,000,000/=. Hati miliki itashughulikiwa kwa makubaliano maalum kati ya muuzaji na mnunuzi. kwa mawasiliano zaidi piga number 0766 333 700. 

 

10 years ago

Michuzi

Mashindano ya Bagamoyo Historical Marathon 2015 yazinduliwa mjini Bagamoyo leo

Mkurugenzi wa kampuni ya 4Beli, Gilbert Herman (kulia) akihutubia wakati uzinduzi wa mashindano ya Mbio Ndefu ya Bagamoyo Historical Marathon 2015 yanatarajiwa kutimua vumbi Juni 14 mwaka huu mjini Bagamoyo Mkoani Pwani. Uzinduzi huo ulifanyika Bagamoyo, Pwani leo. Wengine kutoka kushoto ni, Kaimu Ofisa Michezo Wlaya ya Bagamoyo, Hamisi Kimenya, Mwenyekiti wa Riadha Tanzania Mkoa wa Pwani, Joseph Luhende na Mkurugenzi Msaidizi Ukaguzi na Uhakiki wa Ubora wa Hudumaza Afya kutoka Wizara ya...

 

5 years ago

Michuzi

DC BAGAMOYO AHIDI KUMALIZA KERO NA MALALAMIKO YA WAFANYABIASHARA WANAOTUMIA BANDARI YA BAGAMOYO

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Mhe. Zainab Kawawa amewasihi wafanyabiashara kutumia bandari ya Bagamoyo kuingiza bidhaa zao na kusafirisha bidhaa zinazotoka nje ya Bagamoyo.

Mhe. Zainab ameyasema hayo alipofanya mkutano maalum na wafanyabiashara wa Bagamoyo wanaotumia bandari ndogo ya Bagamoyo baada ya wafanya biashara hao kuacha kutumia bandari hiyo wakidai huduma zisizoridhisha toka kwa uongozi wa mamlaka ya bandari ya Bagamoyo.

Akizungumza kwa niaba ya Wafanyabiashara wanaotumia bandari ya...

 

10 years ago

GPL

BAGAMOYO HISTORICAL MARATHON LAFANA WILAYANI BAGAMOYO

Washiriki wa mbio wakiwa katika viwanja vya Shule ya Msingi Mbaruku ya Bagamoyo wakisubiri kupewa zawadi. Mgeni rasmi katika tamasha hilo, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,  Dk. Shukuru Kawambwa akiwa na baadhi ya washiriki wa michezo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani