Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


kiwanja kinauzwa tegeta wazo Dar es salaam

 KIWANJA KINAUZWA NUSU HEKARI, KIMEPIMWA, KIPO, TEGETA WAZO, DAR ES SALAAM.  BEI NI TSH 70M, KWA MAWASILIANO PIGA, No.0784-577087 Kisali.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

kiwanja kinauzwa pugu, dar es salaam

 Ukubwa: mita 20 kwa 36 ( 20m X 36m )Eneo: Bangulo CCM, Pugu Dar es SalaamBei: Milioni 9 na laki 5  ( 9.5m/- ) Tshs/Mawasiliano: +255 657 582 510 

 

10 years ago

Michuzi

Kiwanja kinauzwa Bunju-Mabwepande, Dar es Salaam

Ukubwa: 447 msqEneo : Bunju-Mabwepande, Dar es SalaamKimepimwa na kina hati halaliBei: TSH. 8.9 million Mawasiliano: 0657 582 510

 

10 years ago

Michuzi

KIWANJA KINAUZWA

Kiwanja kinauzwa kipo mbweni Block 1, kimepimwa na kina hati halali. Ukubwa ni square meters 920(Middle Density).
Kiwanja kipo karibu na barabara  kuu ya lami na kituo  cha basi Kiwanja hiki ni kizuri kwa ujenzi wa nyumba ya kuishi.
Anayeuza ni mmiliki halali wa kiwanja hicho na bei ni shilingi Milioni 100. 
Kwa mawasiliano zaidi piga simu: 0717 935322.Au kwa barua pepe: fmaua@aol.com

 

11 years ago

GPL

KIWANJA KINAUZWA BAGAMOYO

Kiwanja kinauzwa, kiko Bagamoyo Ukuni jirani na standi kuu ya mabasi yaendayo mikoani, kina square meter 2,400, kinafaa kwa ujenzi wa shule, hoteli na aina nyingine ya uwekezaji. Kina hati, bei ni maelewano. Kwa maelezo zaidi piga simu: +255 657…

 

9 years ago

Michuzi

KIWANJA KIZURI NA KIKUBWA KINAUZWA GOBA

    Kimepimwa    Kipo mita 800 kutoka barabara kuu ya lami ya Goba.    Majirani pia wamepima    Kimezungukwa na nyumba zenye hadhi nzuri    Ukubwa ni square meter 1939.    Ni kilometres saba toka mlimani city na saba toka mbezi beach tangibovu    Bei ni Million 90.     Hamna dalali
Kuwasiliana na mmiliki wa kiwanja piga kwenye  0766 888 333

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Kissui afungua kongamano la ulingo wa maendeleo ya biashara na uchumi Karakana ya wajasiriamali-Wazo Hill Tegeta leo

IMG_0107

Mkurugenzi Msaidizi Wizara ya Utamaduni, Michezo, Habari na Vijana Dkt. Kissui S. Kissui akifungua rasmi kongamano la ulingo wa maendeleo ya biashara na uchumi Karakana ya wajasiliamali uliofanyika Wazo Hill Tegeta, Katika Hotuba yake aliwapongeza PSPF kwa kujitoa kuwasaidia wajasiliamali kuwekeza kupitia Fao lao la Ujasiliamali na Kujiunga katika mfuko wa uchangiaji wa Hiari wa PSS, Pia aliwapongeza Haiba Foundation kwa kuwasaidia wajasiriamali wadogo wadogo na mwisho alitoa somo maalum...

 

9 years ago

Michuzi

Muziki munene wa EFM 93.7 Watikisa Tegeta jijini Dar es salaam

SHANGWE za muziki mnene wa 93.7 EFM bado zinaendele. Ijumaa iliyopita ilikuwa zamu ya wakazi wa Tegeta . Burudani ya aina yake ikiongozwa na timu nzima ya EFM ilishushwa ndani ya kimori high way park Tegeta , huku wakazi wa Tegeta wakikutana ana kwa ana na watangazaji na RDJ’s wa 93.7EFM. Burudani ilianza na kabumbu kati ya EFM na Boko beach veteran katika uwanja wa boko beach ambapo EFM waliibuka na ushindi mabao matatu huku Boko beach veteran wakiambulia sifuri. "Muziki mnene bado...

 

10 years ago

Michuzi

JK AFUNGUA RASMI BARABARA YA MWENGE-TEGETA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa barabara ya Mwenge-Tegeta  leo katika eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe jijini Dar es salaam. Ujenzi na upanuzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es Salaam. Wananchi wakifurahia hotuba ya  Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa ufunguzi rasmi wa barabara ya Mwenge-Tegeta  leo katika eneo la Lugalo njiapanda ya Kawe jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani