kilichowasilisha wazo la mbunifu ndicho kizuri
Unapotaja orodha ya wabunifu wa viatu, wanaofanya vizuri katika fani hiyo nchini, huwezi kuliweka pembeni jina la Gabriel Ole Mollel (pichani kulia)
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2GoPyK8FzyE/VeAk0gBnI3I/AAAAAAAH0mw/Of0KaRa38O0/s72-c/unnamed.jpg)
KIWANJA KIZURI NA KIKUBWA KINAUZWA GOBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2GoPyK8FzyE/VeAk0gBnI3I/AAAAAAAH0mw/Of0KaRa38O0/s640/unnamed.jpg)
Kuwasiliana na mmiliki wa kiwanja piga kwenye 0766 888 333
5 years ago
Michuzi09 May
Meridianbet sasa inakuletea kitu kingine kizuri, kufurahia ubashiri
Bashiri matokeo ya mechi zako pendwa za PES zinazochezwa na wachezaji wa soka na timu halisi! Hizi tayari ni timu kubwa na majina makubwa ambayo tayari ulikuwa ukibashiri kabla.
Meridianbet.co.tz inakupa ofa...
9 years ago
Bongo504 Dec
Cassim adai kuzipa exclusive TV za nje kabla ya nyumbani si kitu kizuri
![Mwenyekiti wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dr. Fatma Mrisho](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Mwenyekiti-wa-Tume-ya-Kudhibiti-Ukimwi-TACAIDS-Dr.-Fatma-Mrisho-300x194.jpg)
Hitmaker wa Subira, Cassim Mganga amesema haoni kama ni ufahari kupeleka video yake ikaoneshwe kama exclusive kwenye vituo vya runinga vya nje na kuwaacha watanzania wengi wakisubiria.
Akizungumza na Bongo5, Cassim amesema haoni uzito wa suala hilo kama ambavyo wengine wanavyolichukulia.
“Mimi na video yangu ya Subira nilisema nisianzie huko, kwanini mtu upate exclusive huko ndio uonekane kwamba wewe unakwenda kimataifa?” amehoji.
“Hata hapa nyumbani ni kimataifa vile vile wanaweza...
10 years ago
Bongo Movies03 Mar
Wazo la Mkude Simba Si Mchezo- Kitale
HAIKUWA rahisi kugundua na kubaini vibwagizo vya Mkude Simba vilivyoibuka ghafla kuteka jiji la Dar es Salaam pamoja na nchini nzima mwasisi wa wazo hilo alikuwa ni Mussa Kitale ‘Mkude Simba’ anasema kuwa wazo hilo liliandaliwa kwa muda wa miaka miwili na kuja kuteka umma.
“Wazo la Mkude Simba nilikuwa nalo toka mwaka 2012 lakini nilipokuwa najaribu kulitumia baadhi ya Redio zilishindwa kunielewa, lakini Efm walinielewa na kutumia vibwagezo vyangu vya Mkude Simba,”anasema Kitale.
Kitale...
9 years ago
Bongo Movies18 Dec
Snura Atoa Wazo Kuinua Filamu
Msanii wa muziki Snura ambaye misingi ya kile anachokifanya imejengeka kutoka katika tasnia ya uigizaji ametoa maoni yake kuwa, tasnia ya filamu inaweza kuamishwa tena kwa kuhusisha visa kutoka rekodi za muziki ambazo zimefanya vizuri.
![Snura](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/snura145.jpg)
Snura
Snura ametolea mfano wa rekodi yake ya Majanga ambayo anaamini kama ataifanyia filamu, itajenga hamu kubwa ya mashabiki kuitazama na kuamsha mvuto wa soko la kazi hizo ambalo linaonekana kudorora kwa sasa.
Eatv.tv
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Mwenyekiti Wazo atakiwa kuachia ngazi
WANANCHI wa Mtaa wa Kilimahewa, Kata ya Wazo, Dar es Salaam, wametishia kufunga ofisi ya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo, endapo hatakubali kuachia ngazi. Wakazi hao wamekuwa na mvutano...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MAJr81Isv-0/Vfc9XvdsoKI/AAAAAAAH40U/V6sZ38RWOg0/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
kiwanja kinauzwa tegeta wazo Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-MAJr81Isv-0/Vfc9XvdsoKI/AAAAAAAH40U/V6sZ38RWOg0/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gak1W6updsE/Vfc9XQiWalI/AAAAAAAH40Q/ChDuL5qHK3k/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboMkutano wa Injili Washington DC...WAZO LA JIONI (April 17, 2015)
Pia, alielezea ushuhuda aliosimuliwa na wakimbizi toka Burundi
Japo unafurahisha, lakini unafunza sana
KARIBU
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_-wTNNcyhEI/VH_cJj9LsPI/AAAAAAAG1FM/gKf5-D6cpV8/s72-c/319804_2170215351771_2109605734_n.jpg)
wazo la kutafsiri kitabu cha CHANGAMOTO: Insha za Jamii.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_-wTNNcyhEI/VH_cJj9LsPI/AAAAAAAG1FM/gKf5-D6cpV8/s1600/319804_2170215351771_2109605734_n.jpg)
Nawazia kuzirekebisha insha zilizomo, na kuchapisha kitabu cha ki-Ingereza. Kufanya hivyo kutakipa kitabu hadhira kubwa zaidi kuliko ile ya wajuao ki-Swahili. Nina hakika, kwa mfano, kuwa wa-Marekani watakitafuta na kukisoma. Kwa ujumla wasomaji wa vitabu vyangu ni wa-Marekani.
Ninaposhiriki matamasha hapa Marekani,...