Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


kilichowasilisha wazo la mbunifu ndicho kizuri

Unapotaja orodha ya wabunifu wa viatu, wanaofanya vizuri katika fani hiyo nchini, huwezi kuliweka pembeni jina la Gabriel Ole Mollel (pichani kulia)

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KIWANJA KIZURI NA KIKUBWA KINAUZWA GOBA

    Kimepimwa    Kipo mita 800 kutoka barabara kuu ya lami ya Goba.    Majirani pia wamepima    Kimezungukwa na nyumba zenye hadhi nzuri    Ukubwa ni square meter 1939.    Ni kilometres saba toka mlimani city na saba toka mbezi beach tangibovu    Bei ni Million 90.     Hamna dalali
Kuwasiliana na mmiliki wa kiwanja piga kwenye  0766 888 333

 

5 years ago

Michuzi

Meridianbet sasa inakuletea kitu kingine kizuri, kufurahia ubashiri

WAKATI Euro 2020 ikiwa imeahirishwa, Meridianbet sasa inakuletea kitu kingine kizuri zaidi wewe kuendelea kufurahia ubashiri. PES inakupa fursa nzuri ya kupata pesa kibao, ukiwa na Meridianbet unaweza kubashiri kwenye mechi kutoka vilabu vya vikubwa ulimwenguni na sasa – timu za taifa!
Bashiri matokeo ya mechi zako pendwa za PES zinazochezwa na wachezaji wa soka na timu halisi! Hizi tayari ni timu kubwa na majina makubwa ambayo tayari ulikuwa ukibashiri kabla.
Meridianbet.co.tz inakupa ofa...

 

9 years ago

Bongo5

Cassim adai kuzipa exclusive TV za nje kabla ya nyumbani si kitu kizuri

Mwenyekiti wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dr. Fatma Mrisho

Hitmaker wa Subira, Cassim Mganga amesema haoni kama ni ufahari kupeleka video yake ikaoneshwe kama exclusive kwenye vituo vya runinga vya nje na kuwaacha watanzania wengi wakisubiria.

Kassim Mganga

Akizungumza na Bongo5, Cassim amesema haoni uzito wa suala hilo kama ambavyo wengine wanavyolichukulia.

“Mimi na video yangu ya Subira nilisema nisianzie huko, kwanini mtu upate exclusive huko ndio uonekane kwamba wewe unakwenda kimataifa?” amehoji.

“Hata hapa nyumbani ni kimataifa vile vile wanaweza...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wazo la Mkude Simba Si Mchezo- Kitale

HAIKUWA rahisi kugundua na kubaini vibwagizo vya Mkude Simba vilivyoibuka ghafla kuteka jiji la Dar es Salaam pamoja na nchini nzima mwasisi wa wazo hilo alikuwa ni Mussa Kitale ‘Mkude Simba’ anasema kuwa wazo hilo liliandaliwa kwa muda wa miaka miwili na kuja kuteka umma.

“Wazo la Mkude Simba nilikuwa nalo toka mwaka 2012 lakini nilipokuwa najaribu kulitumia baadhi ya Redio zilishindwa kunielewa, lakini Efm walinielewa na kutumia vibwagezo vyangu vya Mkude Simba,”anasema Kitale.

Kitale...

 

9 years ago

Bongo Movies

Snura Atoa Wazo Kuinua Filamu

Msanii wa muziki Snura ambaye misingi ya kile anachokifanya imejengeka kutoka katika tasnia ya uigizaji ametoa maoni yake kuwa, tasnia ya filamu inaweza kuamishwa tena kwa kuhusisha visa kutoka rekodi za muziki ambazo zimefanya vizuri.

Snura

Snura

Snura ametolea mfano wa rekodi yake ya Majanga ambayo anaamini kama ataifanyia filamu, itajenga hamu kubwa ya mashabiki kuitazama na kuamsha mvuto wa soko la kazi hizo ambalo linaonekana kudorora kwa sasa.
Eatv.tv

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti Wazo atakiwa kuachia ngazi

WANANCHI wa Mtaa wa Kilimahewa, Kata ya Wazo, Dar es Salaam, wametishia kufunga ofisi ya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo, endapo hatakubali kuachia ngazi. Wakazi hao wamekuwa na mvutano...

 

9 years ago

Michuzi

kiwanja kinauzwa tegeta wazo Dar es salaam

 KIWANJA KINAUZWA NUSU HEKARI, KIMEPIMWA, KIPO, TEGETA WAZO, DAR ES SALAAM.  BEI NI TSH 70M, KWA MAWASILIANO PIGA, No.0784-577087 Kisali.

 

10 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Injili Washington DC...WAZO LA JIONI (April 17, 2015)

Mch Wilbert NfubhusaKatika WAZO LA JIONI hii ya leo (Aprili 17, 2015), Mch Wilbert Nfubhusa ameendelea kuzungumzia kuhusu WAZO KUU la Mkutano huu ambalo ni KUFANANA NA YESU
Pia, alielezea ushuhuda aliosimuliwa na wakimbizi toka Burundi
Japo unafurahisha, lakini unafunza sana
KARIBU

 

10 years ago

Michuzi

wazo la kutafsiri kitabu cha CHANGAMOTO: Insha za Jamii.

Na Prof. Joseph Mbele
Kwa wiki kadhaa, nimekuwa nikiwazia kutafsiri kitabu cha CHANGAMOTO: Insha za Jamii. Siku chache zilizopita, niliandika kuhusu kitabu hiki katika blogu hii. 

Nawazia kuzirekebisha insha zilizomo, na kuchapisha kitabu cha ki-Ingereza. Kufanya hivyo kutakipa kitabu hadhira kubwa zaidi kuliko ile ya wajuao ki-Swahili. Nina hakika, kwa mfano, kuwa wa-Marekani watakitafuta na kukisoma. Kwa ujumla wasomaji wa vitabu vyangu ni wa-Marekani. 

Ninaposhiriki matamasha hapa Marekani,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani