Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazo la Mkude Simba Si Mchezo- Kitale

HAIKUWA rahisi kugundua na kubaini vibwagizo vya Mkude Simba vilivyoibuka ghafla kuteka jiji la Dar es Salaam pamoja na nchini nzima mwasisi wa wazo hilo alikuwa ni Mussa Kitale ‘Mkude Simba’ anasema kuwa wazo hilo liliandaliwa kwa muda wa miaka miwili na kuja kuteka umma.

“Wazo la Mkude Simba nilikuwa nalo toka mwaka 2012 lakini nilipokuwa najaribu kulitumia baadhi ya Redio zilishindwa kunielewa, lakini Efm walinielewa na kutumia vibwagezo vyangu vya Mkude Simba,”anasema Kitale.

Kitale...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kitale kutoka na video za Mkude Simba

MSANII wa filamu na vichekesho nchini, Mussa Kitale ‘Kitale’, amesema kutokana na mafanikio aliyoyapata katika programu ya miito ya simu kwa kutumia vichekesho vyake vya ‘Mkude Simba’ sasa anatarajia kutoa...

 

11 years ago

Bongo Movies

Kitale (Mkude Simba) amwagia sifa kedekede Riyama Ally.

Kupitia ukurasa wa mtandao mmoja maarufu wa kijamii  nchini, mwigizaji wa vichekesho na filamu nchini, Kitale almaarufu kama Mkude Simba amemwamgia sifa kedekede mwigizaji mwigine anayefanya vizuri kwenye upande wa filamu nchini Riyama Ali kama ishara ya kuonesha upendo wake kwa mwanadada huyo.

Huku akiwa ameweka picha ya mwanadada Riyama, Kitale aliandika

"Huyu mdada mm napenda kumuita kambi popote kwa maana ya kwamba achagui scene yy ukimpa scene yoyote ile kwake twende anacheza, ongera...

 

9 years ago

Bongo5

Makampuni yanapishana kununua vichekesho vya ‘Mkude Simba’ – Kitale

Eid_Tabora-14

Kitale na Stan Bakora wanaotengeneza vichekesho vya sauti vya ‘Mkude Simba’ wamesema makampuni mengi yamekuwa yakihitaji vichekesho vyao lakini yameshindwa kuvitumia kutokana na kushindwa kufikia makubaliano.

Eid_Tabora-14

Kitale ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa kuna kampuni kubwa ambayo wanajipanga kuingia nayo mkataba.

“Mkude Simba tayari ameshatunufaisha sana, kampuni nyingi zinataka kufanya kazi na sisi lakini wakija wakasikiliza masharti yetu hawarudi tena, yaani kampuni kubwa zote zinapishana...

 

11 years ago

GPL

MKUDE SIMBA: AAAAAAAALO!

Staa wa Muziki na Vichekesho Bongo, Musa Yusuf, a.k.a Mkude Simba akiwa kwenye mahojiano aliyofanya na Global TV Online.
Makala: Shani Ramadhai
AAAAAAAAALO ndiyo msemo unaomtambulisha kwa sasa. Anaijiita Mkude Simba, ametumia jina hilo kama ‘brand’ ya mfumo mpya wa uchekeshaji. Amekubalika na sasa ndiyo habari, kila mtu utamsikia akisema; ‘aaaaaalo, naongea na Mkunde Simba?’.… ...

 

10 years ago

GPL

Mkude: Sijasaini Simba

Kiungo wa Simba, Jonas Mkude. HABARI ni kuwa, Klabu ya Yanga inamhitaji kwa nguvu zote kiungo wa Simba, Jonas Mkude ambaye ili kumshawishi abaki klabuni hapo, uongozi wa Simba ukaamua kumpa gari, lakini mchezaji huyo ametoa kauli nzito. Mkude ambaye amekabidhiwa gari aina ya Toyota GX 115, ameliambia gazeti hili kuwa, mkataba wake na Simba uliobaki ni ule wa miezi sita pekee na kusisitiza kuwa hajasaini mkataba wowote...

 

11 years ago

Michuzi

mambo ya e-fm 93.7 na mkude simba

Hapana shaka umeshamsikia Mkude Simba kwenye mitandao, hasa Whatsapp, akichana watu mbavu kwa lafudhi yake ya Kiluguru na vituko kibao. Kama hujamsikia basi Mkude Simba ndio gumzo la mujini hivi sasa. Naye anapatikana katika kituo kipya cha redio inayokuja juu kwa kasi nchini E-FM 93.7 ambapo usiku ni ngoma ya mchiriku kwa kwenda mbele....Hehehheee Pia kituo hicho cha vijana kinarusha vituzzzz live BOFYA HAPA ama hapo juu katika Globu ya Jamii.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jonas Mkude arejea Simba

KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude, amerejea rasmi kikosini na kuanza mazoezi baada ya kuwa benchi kwa wiki sita akiwa na majeraha aliyopata akiwa na timu ya soka ya Tanzania, Taifa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mkude kujifua kinoma Simba

Kiungo mkabaji wa Simba, Jonas Mkude amedhamiria kufanya mazoezi mara mbili zaidi ili kupigania namba kikosi cha kwanza msimu huu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mil. 60 zamshika Mkude Simba

HATIMAYE klabu ya Simba imefanikiwa kumbakiza kiungo wake Jonas Mkude aliyekuwa akimezewa mate na timu za Yanga ama Azam FC katika dirisha la usajili linalotarajiwa kufunguliwa Novemba 15, baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani