Kitale (Mkude Simba) amwagia sifa kedekede Riyama Ally.
Kupitia ukurasa wa mtandao mmoja maarufu wa kijamii nchini, mwigizaji wa vichekesho na filamu nchini, Kitale almaarufu kama Mkude Simba amemwamgia sifa kedekede mwigizaji mwigine anayefanya vizuri kwenye upande wa filamu nchini Riyama Ali kama ishara ya kuonesha upendo wake kwa mwanadada huyo.
Huku akiwa ameweka picha ya mwanadada Riyama, Kitale aliandika
"Huyu mdada mm napenda kumuita kambi popote kwa maana ya kwamba achagui scene yy ukimpa scene yoyote ile kwake twende anacheza, ongera...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies03 Mar
Wazo la Mkude Simba Si Mchezo- Kitale
HAIKUWA rahisi kugundua na kubaini vibwagizo vya Mkude Simba vilivyoibuka ghafla kuteka jiji la Dar es Salaam pamoja na nchini nzima mwasisi wa wazo hilo alikuwa ni Mussa Kitale ‘Mkude Simba’ anasema kuwa wazo hilo liliandaliwa kwa muda wa miaka miwili na kuja kuteka umma.
“Wazo la Mkude Simba nilikuwa nalo toka mwaka 2012 lakini nilipokuwa najaribu kulitumia baadhi ya Redio zilishindwa kunielewa, lakini Efm walinielewa na kutumia vibwagezo vyangu vya Mkude Simba,”anasema Kitale.
Kitale...
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Kitale kutoka na video za Mkude Simba
MSANII wa filamu na vichekesho nchini, Mussa Kitale ‘Kitale’, amesema kutokana na mafanikio aliyoyapata katika programu ya miito ya simu kwa kutumia vichekesho vyake vya ‘Mkude Simba’ sasa anatarajia kutoa...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal
Robert Pires.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.
Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.
“Namjua Wanyama, ni balozi...
10 years ago
Uhuru NewspaperMourinho amwagia sifa Terry
Mourinho alisema katika kipindi kirefu ameweza kumshawishi Terry kuendelea kuichezea timu hiyo licha ya kutaka kuondoka mara kwa mara.Kocha huyo alisema kila Terry alivyotaka kuondoka alimzuia kwani alikuwa muhimu sana katika kikosi chake na ndio maana alikuwa akimzuia."Nimekuwa nikimzuia Terry kuondoka kwa kuwa mimi kama kocha najua umuhimu wake kwani ameweza...
9 years ago
Bongo505 Dec
Makampuni yanapishana kununua vichekesho vya ‘Mkude Simba’ – Kitale
![Eid_Tabora-14](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Eid_Tabora-14-300x194.jpg)
Kitale na Stan Bakora wanaotengeneza vichekesho vya sauti vya ‘Mkude Simba’ wamesema makampuni mengi yamekuwa yakihitaji vichekesho vyao lakini yameshindwa kuvitumia kutokana na kushindwa kufikia makubaliano.
Kitale ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa kuna kampuni kubwa ambayo wanajipanga kuingia nayo mkataba.
“Mkude Simba tayari ameshatunufaisha sana, kampuni nyingi zinataka kufanya kazi na sisi lakini wakija wakasikiliza masharti yetu hawarudi tena, yaani kampuni kubwa zote zinapishana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-MeNb2aDJx3*QIaaOZajAno33TjtSU0FpoY4Hl9iJDeW1GbGNWo2wpBg16Ucansg7O5wiliKnCL9lVaHgOp10oVBm8SfX3CO/STEVENYERERE.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AMWAGIA SIFA LULU
10 years ago
Bongo Movies01 Jun
Mshiriki wa BBA Kutoka Namibia Amwagia Sifa Wema Sepetu
Mshiriki wa Big Brother Afrika ‘BBA’ Hot Shot 2014 kutoka nchini Namibia, Luis Munana, amemwagia sifa aliyekuwa Miss Tanzania 2016, Wema Sepetu kuwa ni mwenye mvuto wa kipekee.
Lakini licha ya kutoa sifa hizo, mshiriki mwenzao ambaye ndiye mwenyeji wao, Idris Sultan, hakutokea katika sherehe hiyo jambo lililozua minong’ono kwa watu baada ya tetesi kwamba ana ugomvi na Wema Sepetu.
Wema alimwagiwa sifa hizo alipokuwa katika sherehe za Instagram Party katika viwanja vya Posta Kijitonyama...
10 years ago
Bongo Movies05 Jan
Riyama na Shamsa Vs Joti na Kitale, Upi Utakuwa Mzigo Mkali?
Haya tena wadau wa sinema za kibongo, wakali hawa wakiamua kutengeneza kazi ambayo moja iwe ya Riyama pamoja na Shamsa Ford “Chausiku” na nyingine iwe ya Joti Mdebwedo akiwa na Kitale aka Mkudesimba.
Mimi naamini kazi zote hizo mbili zitakuwa hatareee, kwa mtazamo wako ipi kati ya hizi mbili (Riyama na Shamsa VS (Joti na Kitale) unadhani itakuwa kali zaidi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UUHZoZFGT4jF2NCPiUVzey1XJx8*aVzH5EFh7INJOlsOU*vpHwIfcXaU-cj3Ow2dMTUs-Z0fGotknA-SaKF0213-gPZD1*iE/Riyana.gif?width=650)
RIYAMA ALLY ALILIA NDOA!