Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Riyama na Shamsa Vs Joti na Kitale, Upi Utakuwa Mzigo Mkali?

Haya tena wadau wa sinema za kibongo, wakali hawa wakiamua kutengeneza kazi ambayo moja iwe ya Riyama pamoja na Shamsa Ford “Chausiku” na nyingine iwe ya Joti Mdebwedo akiwa na Kitale aka Mkudesimba.

Mimi naamini kazi zote hizo mbili zitakuwa hatareee, kwa mtazamo wako ipi kati ya hizi mbili (Riyama na Shamsa VS (Joti na Kitale) unadhani itakuwa kali zaidi.

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo Movies

Kitale (Mkude Simba) amwagia sifa kedekede Riyama Ally.

Kupitia ukurasa wa mtandao mmoja maarufu wa kijamii  nchini, mwigizaji wa vichekesho na filamu nchini, Kitale almaarufu kama Mkude Simba amemwamgia sifa kedekede mwigizaji mwigine anayefanya vizuri kwenye upande wa filamu nchini Riyama Ali kama ishara ya kuonesha upendo wake kwa mwanadada huyo.

Huku akiwa ameweka picha ya mwanadada Riyama, Kitale aliandika

"Huyu mdada mm napenda kumuita kambi popote kwa maana ya kwamba achagui scene yy ukimpa scene yoyote ile kwake twende anacheza, ongera...

 

10 years ago

Bongo Movies

Damwani: Mzigo Mpya Kutoka Kwa Riyama

Tukiwa ndio tuanaunza mwaka huu wa 2015, tegemea kazi mpya kutoka kwa mwigizaji mahili kabisa wa filamu hapa nchini,  Riyama Ally ambae kwa sasa yupo katika hatua za mwisho kuikamilisha kazi hiyo.

Filamu itakwenda kwa jina la DAMWANI ambayo itakua inahusu maswala ambayo yapo kwenye jamii yetu kwenye maisha yetu ya kila siku, filamu hii imejumuisha waigizaji wakongwe na wachanga na wageni kwenye tasnia hii ya filamu hapo bongo.

Akionekana mbele ya kamera,Riyama akiwa na mwigizaji mwenzie...

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama Ampongeza Shamsa Kuibuka Mshindi kwa Mwaka 2014

“Hongera sana mdogo wangu kwa ushindi mwaka 2014 #chausiku Nakuombea Kila la kheri katika mwaka huu wa 2015 uzidi kufanya vizuri zaidi inshallah amin Nakupenda sanaaaaaaaaaa na kukabidhi rasmi mikoba mamie".

Riyama aliyaema hayo baada ya kubandika picha hiyo  wakiwa ndani ya studio za redio Clouds FM mara baada ya filamu ya Chausiku iliyochezwa na mwanadada Shamsa Ford iliyotoka miezi ya mwishoni  mwa mwaka jana, kutangazwa ndio iliyoshika namba moja huku filamu ya Kigodoro ikishika namba...

 

10 years ago

Bongo Movies

Penzi la Nay na Shamsa la Sababisha Vilio kwa Siwema na Mume wa Shamsa

Penzi la staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford  na Staa wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe.

Kwa mujibu wa gazeti la Ijumaa, Mara baada ya wawili hao kutangazwa rasmi kuwa sasa ni mahaba niue huku picha za ushahidi zikimwagwa, aliyekuwa mwandani wa Nay, Siwema a.k.a Wemalicious na aliyekuwa mume wa Shamsa, Dickson ‘Dick’ wanadaiwa kujikuta kwenye hali mbaya kiasi cha kumwaga...

 

10 years ago

GPL

PENZI LA NAY, SHAMSA SIWEMA, MUME WA SHAMSA VILIO

Musa mateja na imelda mtema
Penzi matata linalowanyima usingizi baadhi ya watu mjini kwa sasa kati ya mwigizaji wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford na mkali wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe, Ijumaa limesheheni. Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego na Shamsa Ford wakipozi kimahaba. TATIZO MAHABA NIUE
...

 

9 years ago

Vijimambo

Mfumo wa Chadema ni upi?!

Siku za hivi karibuni neno mfumo limekua maarufu sana, hivi huwa lina maana gani hasa? Je chadema hawana mfumo? Na kama wanao ni mzuri au mbaya? Umepimwaje? 

Aliyeanzisha chama ni Edwin Mtei na ndiyo mwasisi wa Chadema na ndio Mwenyekiti wa kwanza wa Chama hicho,

Mwenyekiti aliyefuata ni marehemu Bob Makani ambae alimuoa dada wa Mtei, na Mwenyekiti wa sasa Kamuoa mtoto wa Mtei ambae ni mwasisi na mwenyekiti wa kwanza wa chadema, sababu ya Zitto Zubeir Kabwe kutoka Chadema si aliutaka uenyekiti...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msimamo wa JK upi katika hili?

MOJA ya habari kubwa kwenye Gazeti hili jana, ilihusu kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe kwamba Rais Jakaya Kikwete ni kigeugeu. Mbowe ambaye alikuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Msimamo wa Rais wa Burundi ni upi?

Je Rais Nkurunziza wa Burundi,anafikiria kufanya mazungumzo na upinzani ili kuondoa sintofahamu inayoendelea sasa nchini humo?

 

9 years ago

Bongo5

Suma Mnazareti adai kujua mashabiki wanataka muziki upi ndio mtihani mkubwa

Suma Mnazareti anaamini kuwa mtihani mkubwa wanaokumbana nao wasanii wengi ni kujua muziki upi Watanzania wanautaka pamoja na muda gani. Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa hicho pia ni kitu kinachomsumbua. “Nafikiri sasa hivi kuna aina fulani ya muziki ambao upo pia ndio maana muda mrefu ilinibidi nikae kimya. Ilikuwa inaniuma kwa sababu hata watu wananiambia […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani