Mamia ya wahamiaji wafa maji
Mamia ya wahamiaji wamekufa maji wakati wakijaribu kuelekea nchini Italia kupitia Bahari ya Meditarian.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Wahamiaji 70 wafa maji Yemen.
Watu 70 wamekufa baada ya boti iliyokuwa imejaza wahamiaji haramu kupinduka baharini magharibi mwa Yemen.
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Wahamiaji 40 wafa maji pwani ya Italy
Zaidi ya watu 40 wamekufa maji katika pwani ya Sicily nchini Itali
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Wahamiaji 22 wafa maji wakielekea Ugiriki
Wahamiaji 22, wengi wao watoto, wamekufa maji wakijaribu kufika visiwa vya Kalymnos na Rhodes nchini Ugiriki wakitokea Uturuki.
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Wahamiaji 17 wafa maji wakielekea Uturuki
Wahamiaji 17 wamekufa maji baharini muda mfupi baada yao kutoka Uturuki wakielekea Ugiriki.
10 years ago
BBCSwahili19 Apr
Mamia ya wahamiaji wahofiwa kufa maji
Mamia ya wahamiaji wanahofiwa kufa maji baada ya boti iliokuwa wakiabiri kuzama karibu na pwani ya Libya.
10 years ago
KwanzaJamii16 Sep
ZAIDI YA WAHAMIAJI 200 WAFA MAJI WAKITOKEA LIBYA
Wahamiaji wengi kutoka Libya wameripotiwa kupoteza maisha yao baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzamaikielekea upande wa Italia.
Kwa mujibu wa wanajeshi wa majini wa Libya, watu hao walikuwa wakijaribu kuvuka kuelekea Ulaya.
Msemaji wa majeshi ya majini ya Libya, Ayub Qassem amethibitisha watu 36 wameokolewa baada ya mashua yao iliyokuwa imebeba watu 250 ilipozama karibu na eneo la Tajoura, mashariki mwa Tripoli.
Hata hivyo, amefichua ya kwamba maiti nyingi bado zinaelea...
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Wahamiaji 200 wafa bahari ya Mediterani
Zaidi ya wahamiaji 200 wamekufa baada ya boti walizokuwa wakisafiria kuzama katika bahari ya Mediterani.
9 years ago
Habarileo25 Sep
Mamia ya mahujaji wafa kwa kukanyagana Makka
MAHUJAJI wapatao 700 wamepoteza maisha baada ya kukanyagana katika mji wa Mina ulioko nje kidogo ya Makka, ambapo watu 2,000,0000 wana swali ibada ya hija.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania