Majuu : takriban kila mwanamke mzuri na sigara mkononi
Macho hayana pazia. Walisema wahenga. Hapa tuliposimama macho yetu kweli hayana kizibo. Tumeganda kama nzi aliyenaswa utandoni. Nzi hana Kiswahili bali kusubiri ang’atwe ng’atwe na yule mdudu mwenye miguu na macho manane.Tumeshikwa bumbuazi tukimtazama bibiye akimwagika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Sigara kuwaua wavutaji 2 katika kila 3
Uvutaji wa sigara 10 kwa siku huongeza maradufu hatari huku wale wanaovuta sigara 20 kwa siku wakiongeza hatari hiyo zaidi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP4jZU52gCrbraxyPnC-xDoGQYIcs3rp-K5BYrC2oKeCEsxw9bq0ifMHkuFg7EidKMelG7xYVdQRFbkFG*gY724u/Love.jpg)
JINSI YA KUISHI NA MWANAMKE MZURI BILA PRESHA!
Kibinadamu tunasema hakuna mwanamke mzuri na mbaya. Wote ni sawa na yule ambaye unamuona kwako ni mzuri, huenda kwa mwenzako akawa mbaya.Hata hivyo, wapo wanawake ambao kiuhalisia ni wazuri na hata wenzao wanakiri kwamba Mungu kawapendelea.
Uzuri ninaouzungumzia hapa ni ule wa sura na umbo. Wapo ambao wamejaaliwa kuwa na figa bomba kiasi kwamba kila mwanaume anatamani ampate. Linapozungumziwa suala la kuoa, wanaume wengi sasa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68wCIK97vWWK4bA5QrCl6MXM4dzpNovupX57OjZl49uA1KG3ZZEdOx5AQzEVasD2r1CnDR4C3o72HSQPmpHmWDMh/z.jpg?width=650)
MWANAMKE MZURI ANAPASWA KUWA NA VIGEZO GANI?- 2
U hali gani msomaji wangu? Ni matumaini kwamba uliifurahia siku ya wapendanao (Valentines Day) kwa kufanya yale yanayostahili kufanywa kwenye siku hiyo. Nakukaribisha tena tuendelee na mada yetu tuliyoianza wiki iliyopita kama inavyojieleza hapo juu. Nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sitakushukuru wewe msomaji wangu ambaye ulituma ujumbe mfupi (sms), kuchangia mada hii kama nilivyokuomba. Ushauri au mawazo yako uliyoyatoa ni ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgDh7Wv66VpTrPtZVarN27oWCTObLYff7I-EpIAOnfZLppZTLllwg3T0JLe2*-PiY8z-0PY6N9jR79ICXZnzVtCm/LV.jpg)
MWANAMKE MZURI ANAPASWA KUWA NA VIGEZO GANI?
Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa, ni Jumatatu nyingine ninapokukaribisha kwa moyo mkunjufu kwenye busati letu la mahaba, tukijuzana na kuelimishana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Leo nataka tujadiliane kuhusu mada ambayo siyo ngeni lakini imekuwa ikisababisha mivutano na migongano mingi ya kimawazo mara kwa mara kila inapojadiliwa, hasa na wanaume au wanawake wenyewe. Hivi umeshawahi kujiuliza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZuvYMQ50TjvHVW5vzEd3PAWTFXXGSSqRd76hEppurGSbib9qsSOd5UuWcgoyEN9vZwOUmav339EOHkIpdH4C8DvF/7.jpg?width=650)
HASARA 3 ZA KUOA MWANAMKE MZURI, ‘MWENYE NAZO’ ILA LIMBUKENI!
Awali ya yote naomba niseme kwamba, raha ya ndoa ni kumpata mtu ambaye anajua maisha na anajua mapenzi pia. Ukipata mwanamke ambaye anajua kutafuta pesa tu lakini kwenye ulimwengu wa mapenzi ni limbukeni, atakusumbua sana. Lakini pia ukijichanganya ukaoa mwanamke ambaye ni mtaalam wa mapenzi lakini hajui pesa inavyotafutwa, nalo ni tatizo licha ya kwamba kwa wengine si tatizo kwani wapo ambao hawataki kuoa wanawake wenye vipato...
11 years ago
Bongo521 Jul
Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!
Kundi la waamuzi wa kesi (jury) katika mahakama ya Florida nchini Marekani limeiamuru kampuni ya sigara ya RJ Reynolds Tobacco kumlipa mwanamke aliyefiwa na mume wake kwa saratani ya mapafu dola bilioni 23.6. Adhabu hiyo inajulikana kitaalum kama ‘Punitive damages’ na hutolewa kuyakatisha tamaa makampuni au watu kufanya mambo mabaya huku fidia au ‘compensatory damages’ […]
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Uturuki yaomboleza vifo takriban 95
Maelfu ya Watu wamekusanyika mjini Ankara nchini Uturuki kuomboleza kwa ajili ya Watu takriban 95 waliouawa kwa mabomu
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Panda, kushuka majuu 2013
Mwaka 2013 ulikuwa wa furaha na huzuni kwa baadhi ya wasanii majuu. Vifo, ndoa, uchumba, mauzo, kupanda na kushuka katika chati vilitawala mwaka huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania