Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sigara kuwaua wavutaji 2 katika kila 3

Uvutaji wa sigara 10 kwa siku huongeza maradufu hatari huku wale wanaovuta sigara 20 kwa siku wakiongeza hatari hiyo zaidi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wavutaji sigara waonywa wasipuuze kikohozi

Wavuta wa sigara wameshauriwa wasipuuze kikohozi kwani inaweza kuwa ishara ya maambukizi mabaya zaidi yanayoweza kuhatarisha maisha

 

11 years ago

Mwananchi

Namna GMO itakavyosaidia wavutaji kuachana na sigara

Wataalamu wa afya wanasema sigara haina manufaa yoyote kwa binadamu zaidi ya kumwathiri kiafya

 

5 years ago

BBCSwahili

Wavutaji sigara Afrika Kusini wahangaika kufwatia marufuku.

Biashara haramu ya sigara nchini Afrika Kusini inaendelea kufanyika licha ya kupigwa marufuku kama sehemu ya hatua zilizowekwa kupunguza kuenea kwa ugonjwa wa virusi vya Corona.

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Wanawake wavutaji sigara huacha kuzaa mapema

Wanawake wanaovuta sigara au kukaa na wavutaji sigara wamo katika hatari ya kukatisha uzazi wao mapema, utafiti mpya unaonyesha.

 

10 years ago

Africanjam.Com

SHERIA KWA WAUZAJI NA WAVUTAJI WA SIGARA NCHINI CHINA

China iliwahi kupitisha sheria ya kusitisha uvutaji wa sigara katika maeneo ya wazi pamoja na maeneo ya shule na hospitali lakini haikuweza kutekelezeka kwa mara ya kwanza.Ingawa kuna baadhi ya nchi kama Jamaica ambapo uvutaji sigara ama bangi si kitu cha ajabu lakini kwa upande wa China sasa kitendo hicho kimeonekana ni kosa kubwa na Serikali imeanza mikakati ya kuhakikisha inatokomeza uvutaji sigara.
Nchi hiyo imerudi kwenye headlines tena na safari hii Serikali imeweka wazi mikakati yake...

 

10 years ago

Mwananchi

Majuu : takriban kila mwanamke mzuri na sigara mkononi

Macho hayana pazia. Walisema wahenga. Hapa tuliposimama macho yetu kweli hayana kizibo. Tumeganda kama nzi aliyenaswa utandoni. Nzi hana Kiswahili bali kusubiri ang’atwe ng’atwe na yule mdudu mwenye miguu na macho manane.Tumeshikwa bumbuazi tukimtazama bibiye akimwagika.

 

11 years ago

Bongo5

Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!

Kundi la waamuzi wa kesi (jury) katika mahakama ya Florida nchini Marekani limeiamuru kampuni ya sigara ya RJ Reynolds Tobacco kumlipa mwanamke aliyefiwa na mume wake kwa saratani ya mapafu dola bilioni 23.6. Adhabu hiyo inajulikana kitaalum kama ‘Punitive damages’ na hutolewa kuyakatisha tamaa makampuni au watu kufanya mambo mabaya huku fidia au ‘compensatory damages’ […]

 

10 years ago

Michuzi

Kongamano la 12 la Uwekezaji katika sekta ya Madini linalofanyika kila mwaka katika mji wa Perth nchini Australia

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini Eng. Ngosi Mwihava akiwasilisha hotuba yake katika Kongamano la 12 la Uwekezaji katika sekta ya Madini linalofanyika kila mwaka katika mji wa Perth nchini Australia. Mwaka huu linafanyika tarehe 3-5, 2014 mjini hapo.Baadhi ya wajumbe kutoka Tanzania wanaoshiriki kwenye Kongamano la 12 la Uwekezaji katika sekta ya Madini linalofanyika kila mwaka katika mji wa Perth nchini Australia. Mwaka huu linafanyika tarehe 3-5, 2014 mjini hapo na...

 

11 years ago

Mwananchi

Ulinzi watanda katika kila kona bungeni

Ulinzi katika majengo na viunga vya Bunge umeimarishwa. Tangu jana idadi ya askari polisi imeongezeka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani