Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wavutaji sigara Afrika Kusini wahangaika kufwatia marufuku.

Biashara haramu ya sigara nchini Afrika Kusini inaendelea kufanyika licha ya kupigwa marufuku kama sehemu ya hatua zilizowekwa kupunguza kuenea kwa ugonjwa wa virusi vya Corona.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sigara kuwaua wavutaji 2 katika kila 3

Uvutaji wa sigara 10 kwa siku huongeza maradufu hatari huku wale wanaovuta sigara 20 kwa siku wakiongeza hatari hiyo zaidi

 

9 years ago

BBCSwahili

Wavutaji sigara waonywa wasipuuze kikohozi

Wavuta wa sigara wameshauriwa wasipuuze kikohozi kwani inaweza kuwa ishara ya maambukizi mabaya zaidi yanayoweza kuhatarisha maisha

 

11 years ago

Mwananchi

Namna GMO itakavyosaidia wavutaji kuachana na sigara

Wataalamu wa afya wanasema sigara haina manufaa yoyote kwa binadamu zaidi ya kumwathiri kiafya

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Wanawake wavutaji sigara huacha kuzaa mapema

Wanawake wanaovuta sigara au kukaa na wavutaji sigara wamo katika hatari ya kukatisha uzazi wao mapema, utafiti mpya unaonyesha.

 

10 years ago

Africanjam.Com

SHERIA KWA WAUZAJI NA WAVUTAJI WA SIGARA NCHINI CHINA

China iliwahi kupitisha sheria ya kusitisha uvutaji wa sigara katika maeneo ya wazi pamoja na maeneo ya shule na hospitali lakini haikuweza kutekelezeka kwa mara ya kwanza.Ingawa kuna baadhi ya nchi kama Jamaica ambapo uvutaji sigara ama bangi si kitu cha ajabu lakini kwa upande wa China sasa kitendo hicho kimeonekana ni kosa kubwa na Serikali imeanza mikakati ya kuhakikisha inatokomeza uvutaji sigara.
Nchi hiyo imerudi kwenye headlines tena na safari hii Serikali imeweka wazi mikakati yake...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rwanda na Afrika Kusini kulegeza marufuku ya kutotoka nje

Serikali ya Rwanda imepunguza ukali wa masharti iliyoweka kama hatua za kuzuia maambukizi ya virusi vya corona tangu wiki sita zilizopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Marufuku kuvuta sigara hadharani

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid amesisitiaza tamko la kupiga marufuku uvutaji wa sigara katika maeneo ya umma ili kuilinda jamii kutokana na madhara yatokanayo na moshi wa sigara.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku uvutaji sigara China

Serikali ya China imepiga marufuku uvutaji wa sigara katika mji mkuu Beijing

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ipige marufuku uvutaji sigara hadharani

Kesho ni siku ya kimataifa ya kupinga matumizi ya tumbaku duniani. Hii ni kutokana na athari zake za kiafya kwa wanaotumia na hata wale walio karibu na watumiaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani