Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marufuku kuvuta sigara hadharani

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid amesisitiaza tamko la kupiga marufuku uvutaji wa sigara katika maeneo ya umma ili kuilinda jamii kutokana na madhara yatokanayo na moshi wa sigara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali ipige marufuku uvutaji sigara hadharani

Kesho ni siku ya kimataifa ya kupinga matumizi ya tumbaku duniani. Hii ni kutokana na athari zake za kiafya kwa wanaotumia na hata wale walio karibu na watumiaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madhara ya kuvuta sigara

KAMA unavuta sigara acha kuvuta, kama hujaanza usianze.  Kwanini uache na kwanini usianze? Ni kwa kuwa tafiti nyingi zimeonesha kuwa ukivuta sigara unajipunguzia miaka ya kuishi. Makala ya wiki iliyopita...

 

5 years ago

BBCSwahili

'Baba alinifunza kunywa pombe na kuvuta sigara'

Fahamu maisha ya Anne yalivyokuwa baada ya kuwa mraibu wa pombe kupindukia alikorithishwa na baba yake mzazi.

 

10 years ago

Mwananchi

Atupwa mahabusi kwa kuvuta sigara eneo la mahakama

Mfanyabiashara wa Moshi Mjini, Lenana Marealle amejikuta matatani baada ya kuwekwa mahabusi kwa saa tatu kwa amri ya jaji baada ya kuvuta sigara eneo la Mahakama Kuu Kanda ya Moshi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku uvutaji sigara China

Serikali ya China imepiga marufuku uvutaji wa sigara katika mji mkuu Beijing

 

10 years ago

StarTV

China yapiga marufuku uvutaji wa sigara maeneo ya wazi.


Watakaokiuka sheria ya uvutaji sigara mjini Beijing kupigwa faini

Serikali ya China,imepiga marufuku kuvuta sigara katika maeneo yote ya wazi katika mji wa Beijing.

Maelfu ya maafisa wameanza kufanya ukaguzi katika maeneo yote ya wazi na watakaokiuka kufuata sheria hiyo watapigwa faini.

Hata hivyo China ina wavuta sigara milioni mia tatu wakati sheria ya kusitisha wavutaji sigara katika maeneo ya wazi ya mji wa Beijing ilipopitishwa kwa mara ya kwanza na kushindwa kutekelezeka.

Ripoti inasema...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wavutaji sigara Afrika Kusini wahangaika kufwatia marufuku.

Biashara haramu ya sigara nchini Afrika Kusini inaendelea kufanyika licha ya kupigwa marufuku kama sehemu ya hatua zilizowekwa kupunguza kuenea kwa ugonjwa wa virusi vya Corona.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upigaji busu hadharani wapigwa marufuku

Kijiji kimoja nchini India kilichopo katika jimbo la kusini magharibi kimepiga marufuku upigaji busu wa hadharani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani