Wavutaji sigara waonywa wasipuuze kikohozi
Wavuta wa sigara wameshauriwa wasipuuze kikohozi kwani inaweza kuwa ishara ya maambukizi mabaya zaidi yanayoweza kuhatarisha maisha
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Sigara kuwaua wavutaji 2 katika kila 3
Uvutaji wa sigara 10 kwa siku huongeza maradufu hatari huku wale wanaovuta sigara 20 kwa siku wakiongeza hatari hiyo zaidi
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Namna GMO itakavyosaidia wavutaji kuachana na sigara
Wataalamu wa afya wanasema sigara haina manufaa yoyote kwa binadamu zaidi ya kumwathiri kiafya
10 years ago
Africanjam.ComSHERIA KWA WAUZAJI NA WAVUTAJI WA SIGARA NCHINI CHINA
China iliwahi kupitisha sheria ya kusitisha uvutaji wa sigara katika maeneo ya wazi pamoja na maeneo ya shule na hospitali lakini haikuweza kutekelezeka kwa mara ya kwanza.Ingawa kuna baadhi ya nchi kama Jamaica ambapo uvutaji sigara ama bangi si kitu cha ajabu lakini kwa upande wa China sasa kitendo hicho kimeonekana ni kosa kubwa na Serikali imeanza mikakati ya kuhakikisha inatokomeza uvutaji sigara.
Nchi hiyo imerudi kwenye headlines tena na safari hii Serikali imeweka wazi mikakati yake...
Nchi hiyo imerudi kwenye headlines tena na safari hii Serikali imeweka wazi mikakati yake...
5 years ago
BBCSwahili26 May
Wavutaji sigara Afrika Kusini wahangaika kufwatia marufuku.
Biashara haramu ya sigara nchini Afrika Kusini inaendelea kufanyika licha ya kupigwa marufuku kama sehemu ya hatua zilizowekwa kupunguza kuenea kwa ugonjwa wa virusi vya Corona.
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Utafiti: Wanawake wavutaji sigara huacha kuzaa mapema
Wanawake wanaovuta sigara au kukaa na wavutaji sigara wamo katika hatari ya kukatisha uzazi wao mapema, utafiti mpya unaonyesha.
11 years ago
Bongo521 Jul
Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!
Kundi la waamuzi wa kesi (jury) katika mahakama ya Florida nchini Marekani limeiamuru kampuni ya sigara ya RJ Reynolds Tobacco kumlipa mwanamke aliyefiwa na mume wake kwa saratani ya mapafu dola bilioni 23.6. Adhabu hiyo inajulikana kitaalum kama ‘Punitive damages’ na hutolewa kuyakatisha tamaa makampuni au watu kufanya mambo mabaya huku fidia au ‘compensatory damages’ […]
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Sigara yamponza Szczesny
Kipa wa kikosi cha kwanza cha Arsenal, Wojciech Szczesny amepigwa faini ya pauni 20,000
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Madhara ya kuvuta sigara
KAMA unavuta sigara acha kuvuta, kama hujaanza usianze. Kwanini uache na kwanini usianze? Ni kwa kuwa tafiti nyingi zimeonesha kuwa ukivuta sigara unajipunguzia miaka ya kuishi. Makala ya wiki iliyopita...
11 years ago
KwanzaJamii01 Jun
Zijue athari za uvutaji sigara
Miongoni mwa athari za tumbaku ni saratani ya koo na mapafu, kuziba kwa mishipa midogo ya damu, kupungua nguvu za kiume, kuwa na ukurutu, saratani ya kizazi, mimba kuharibika, vidonda vya tumbo na matatizo ya kusikia.
Athari nyingine ni vidole, meno na mdomo kubadilika rangi, ngozi kukunjamana, matatizo ya mapafu, mifupa na moyo.
Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha kuwa karibu watu milioni sita hufa duniani kila mwaka kutokana na athari za matumizi ya tumbaku.
Kati ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania