Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Panda, kushuka majuu 2013

Mwaka 2013 ulikuwa wa furaha na huzuni kwa baadhi ya wasanii majuu. Vifo, ndoa, uchumba, mauzo, kupanda na kushuka katika chati vilitawala mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MASTAA WA FILAMU WALA SHAVU MAJUU

Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Ali Davutoglu akizungumza mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) .
JB akielezea safari yao itakavyokuwa.
Mzee Majuto akielezea furaha aliyokuwa nayo kutokana na safari hiyo.…

 

10 years ago

Mwananchi

Suala la usalama wa maisha majuu : Hadhari na tahadhari

Saa saba usiku. Navinjari maduka machache, makubwa makubwa yasiyofungwa kucha kutwa. Maduka ya Waturuki. Kimya cha fisi, saa hizi za usingizi, mitaa ya London. Kisicholala, hali kadhalika, ni taa za barabara na magari yasiyokwisha Ulaya.

 

10 years ago

Mwananchi

Majuu : takriban kila mwanamke mzuri na sigara mkononi

Macho hayana pazia. Walisema wahenga. Hapa tuliposimama macho yetu kweli hayana kizibo. Tumeganda kama nzi aliyenaswa utandoni. Nzi hana Kiswahili bali kusubiri ang’atwe ng’atwe na yule mdudu mwenye miguu na macho manane.Tumeshikwa bumbuazi tukimtazama bibiye akimwagika.

 

11 years ago

Mwananchi

Maendeleo ya wanawake majuu na ushindi wa Wajerumani ni somo gani kwetu Afrika?

Mstuko usingizini, jijini London. Siyo makombora yanayomwagwa Gaza na Wayahudi kuua watoto na wanawake wa Kipalestina. Hapana. Hizi ni radi za Mwenyezi Mungu. Miti na madirisha yanatingisika na kutetereka.

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON: Hisia za woga,utata na upweke zawakabili wananchi wa kawaida majuu

Hisia tatu kuu zauandama ulimwengu wa kitajiri siku hizi. Woga na wasiwasi wa kuuawa na magaidi wakatili. Hisia ya utata kuwa maisha hayana maana. Kwamba kifo chaweza kuwadia wakati wowote. Ya tatu ni upweke.

 

10 years ago

Mwananchi

Dai kuwa eti wanasayansi walitengeneza ukimwi na ebola kuua waafrika laendelea mitaani majuu

Tunamtazama njiwa. Anasikitisha. Anachechemea akidonoa donoa mabaki ya vyakula chini. Mguu mmoja umeumia; hautumii kabisa. Njiwa wenzake, wanampita pita wakila haraka zaidi.

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON : Wakenya wakutana London kuitangaza nchi yao inayozidi kupendwa majuu

“Kenya and Friends in the Park” – yaani Kenya na marafiki zao kukutana kiwanjani ilihamasishwa na dada mcheza ngoma, mwanatamthiliya na mwanahabari Lydia Olet. Bango lenye taswira ya Simba na Mmasai aliyevaa lubega la miraba; kifua wazi na mkuki mkononi. Maneno yalisema burudani itakuwa Jumamosi tarehe 29 Agosti kuanzia tano asubuhi hadi mbili usiku. Kiingilio bure.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani