Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Suala la usalama wa maisha majuu : Hadhari na tahadhari

Saa saba usiku. Navinjari maduka machache, makubwa makubwa yasiyofungwa kucha kutwa. Maduka ya Waturuki. Kimya cha fisi, saa hizi za usingizi, mitaa ya London. Kisicholala, hali kadhalika, ni taa za barabara na magari yasiyokwisha Ulaya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Hadhari ya maisha kupanda yatajwa Bungeni

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Kidawa Saleheimesifu juhudi za serikali za kutaka kuongeza fedha kwenye Mfuko wa Umeme Vijijini (REA) kwa kupandisha bei ya petroli, dizeli na mafuta ya taa, lakini ikaitaka serikali kuchukua tahadhari dhidi ya athari zinazoweza kujitokeza kwa hatua hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tahadhari usalama wako

Twitter na Facebook zimetumiwa kusambaza ujumbe wa tahadhari miongoni mwa Wakenya kuhusu uwezekano wa kutokea mashambulio nchini.

 

10 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi Usalama Barabarani watoa taarifa ya kusitisha suala la kusoma kwa madereva nchini

Mpinga

Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, DCP  Mohammed R. Mpinga – DCP (kulia) akitoa maelezo ya kiutalaamu juu ya suala la kusoma kwa madereva ambalo kwa sasa suala hilo limesitishwa hadi hapo litakapokamilika kwa mchakato wake. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa madereva nchini, Clement Masanja.  Taarifa hiyo aliitoa leo jijini katika ukumbi wa habari MAELEZO, jijini Dar es Salaam. (Picha na Andrew Chale wa Modewji blog).

TAARIFA KWA UMMA

 Hivi karibuni nchi yetu...

 

10 years ago

GPL

TAHADHARI: KONA HIZI ZA IYOVI NI KALI, DEREVA KUWA MAKINI, EPUSHA MAISHA YA ABIRIA

Wewe ni  dereva  wa basi la abiria ama gari  binafsi ? hebu  chukua  hatua ya  kupunguza ajali  leo kwa kujihadhari na  kona  hizi na Iyovi na Kitonga na  kona  nyingine kali kama  hizi nchini kwani maisha  yako ni  dhamani  kubwa na uhai  wake bado tunautamani.  Vema  kuheshimu alama  za barabarani na  kuacha mbwembwe  uwapo  barabarani katika kona kali kama...

 

9 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA WIKI NENDA KWA USALAMA BARABARANI YAFANYIKA TEMEKE JIJI DAR ES SALAAM (ENDESHA SALAMA-OKOA MAISHA)

Mgeni rasmi ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya A&T Brothers Co. Ltd Abdulmalik Mollel akuzungumza na wananchi juu ya Kuzuia kabisa mwendo kasi kwa magari makubwa barabara ya kutoka bandarini kuelekea ubungo kupitia ama Barabara ya Kilwa ama ile ya Mandela kwa wakati wote, na kuweka msisitizo wa alama za mwendo kasi katika barabara hizo kwakuwa pia imekuwa ikichangia kukosa umadhubuti wa breki pindi tatizo la ghafla linapojitokeza,  jana jiji Dar Salaam.Sehemu ya wananchi wakimsikiliza...

 

11 years ago

Mwananchi

Panda, kushuka majuu 2013

Mwaka 2013 ulikuwa wa furaha na huzuni kwa baadhi ya wasanii majuu. Vifo, ndoa, uchumba, mauzo, kupanda na kushuka katika chati vilitawala mwaka huu.

 

11 years ago

Habarileo

TFDA yatoa hadhari maziwa ya watoto

MAMLAKA ya Chakula na Dawa nchini (TFDA) imehadharisha wafanyabiashara wanaoendelea kuuza bidhaa hususani maziwa zenye picha za watoto ama kutokuwa na maandishi katika Kiswahili na Kiingereza na kusema bidhaa hizo zitakuwa hazijasajiliwa.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania wapewa hadhari kulinda taifa

Pereira Ame SilimaNAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Ame Silima, ametoa mwito kwa Watanzania katika mikoa ambayo uandikishaji wa vitambulisho vya taifa unaendelea, wawe makini kutambuana ili kuwataja wanaowashuku kuwa si raia wa Tanzaia, ili wachunguzwe kabla ya kuandikishwa.

 

9 years ago

Raia Mwema

Natoa hadhari, vinginevyo ICC haikwepeki — 2

HAPA nchini Chama cha Mapinduzi wana kikosi cha green guard ambacho hakijasajiliwa ndani ya katib

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani