Watanzania wapewa hadhari kulinda taifa
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Ame Silima, ametoa mwito kwa Watanzania katika mikoa ambayo uandikishaji wa vitambulisho vya taifa unaendelea, wawe makini kutambuana ili kuwataja wanaowashuku kuwa si raia wa Tanzaia, ili wachunguzwe kabla ya kuandikishwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Dec
Watanzania waaswa kulinda amani
RAIS Jakaya Kikwete ameongoza Watanzania katika kuadhimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika, huku msisitizo katika sherehe hizo ukiwa ni kuwataka kutokubali kurubuniwa na kuharibu amani iliyopo na badala yake waidumishe na kujituma.
11 years ago
Habarileo13 Mar
‘Watanzania wafikirie kulinda Muungano’
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira amesema ni vyema Watanzania wakafikiria kudumisha Muungano kwa kutazama kero zilizoonekana miaka 50 iliyopita ikiwemo kero za watendaji, sheria na kuondoa kabisa kero zote ili kuweza kusonga mbele.
10 years ago
Habarileo01 Mar
Watanzania watakiwa kulinda amani, utulivu
WATANZANIA wametakiwa kulinda amani ya nchi kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo ili kuliletea taifa maendeleo.
10 years ago
Habarileo14 Feb
Mgimwa asihi Watanzania kulinda wanyamapori
NAIBU Waziri Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa amewasisitizia Watanzania kuendelea kuwalinda wanyamapori kwa hali na mali, kwani wanyama hao ni mali yao.
9 years ago
StarTV12 Oct
Watanzania waaswa kulinda amani, umoja, haki
Watanzania wameaswa kuzilinda kwa hali na mali tunu muhimu za Taifa ambazo ni amani, umoja na haki ili kuepuka machafuko na kupita salama katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Mpaka sasa viashiria vya uvunjifu wa tunu hizo vinatajwa kuanza kuonekana kutokana na kuwepo kwa sera za uchochezi kwa baadhi ya vyama vya siasa vingine vikiwahimiza vijana kulinda kura siku ya uchaguzi jambo ambalo ni kinyume na maagizo ya Tume ya Uchaguzi nchini NEC.
Ni takribani wiki...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QyeM3VCSkhc/VhAAdiwPfhI/AAAAAAADALQ/nnY0BNdwdbo/s72-c/_MG_2358.jpg)
WATANZANIA WATAKIWA KULINDA SHAHADA ZAO ZA KUPIGIA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-QyeM3VCSkhc/VhAAdiwPfhI/AAAAAAADALQ/nnY0BNdwdbo/s640/_MG_2358.jpg)
Dkt Magufuli ameishauri tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kutimiza wajibu wake wa kutenda haki kwa wagombea wote wa ngazi za Uraisi,pia amewataka Wananchi wakatae kulaghaiwa...
10 years ago
Habarileo01 Dec
Wassira asisitiza uwajibikaji kulinda maslahi ya taifa
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Stephen Wassira amekiri kuwa hali ilikuwa mbaya bungeni Ijumaa usiku wakati wa kujadili na kupitisha maazimio kuhusu sakata la uchotaji wa fedha za Tegeta Escrow zilizokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
10 years ago
Vijimambo24 Mar
WATANZANIA LAZIMA TUWE MAKINI NA MATAJIRI WA NCHI HII KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU NA USTAWI WA WATANZANIA MASKINI
![](https://www.rafikifoundation.org/CMS/Images/tanzaniamap.png)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Zu3s6cU-O7w/VkYs8U9gS7I/AAAAAAAADMw/s1_lp_jTVsk/s72-c/picc.jpg)
WATANZANIA WAPEWA SOMO KUHUSU DIPLOMASIA YA uCHUM (ECONOMIC DIPLOMACY
![](http://2.bp.blogspot.com/-Zu3s6cU-O7w/VkYs8U9gS7I/AAAAAAAADMw/s1_lp_jTVsk/s640/picc.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KO_uZy5PJKA/VkYs7IYQQuI/AAAAAAAADMg/iM2NKPWLfO8/s640/kiw.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mPqqSfMnXTY/VkYs7ITa1NI/AAAAAAAADM8/kJrMrs9igUk/s640/alan.jpg)