Mgimwa asihi Watanzania kulinda wanyamapori
NAIBU Waziri Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa amewasisitizia Watanzania kuendelea kuwalinda wanyamapori kwa hali na mali, kwani wanyama hao ni mali yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Mama Bilal asihi Watanzania kujitoa
11 years ago
BBCSwahili31 Jan
UN kulinda wanyamapori DRC
5 years ago
Michuzi
KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES LAENDELEA KUWEKA UMUHIMU WA KULINDA WANYAMAPORI

Katika maadhimisho hayo shirika la ndege la Emirates, likijua vizuri jukumu lake katika mfumo wa ikolojia kidunia limeendelea kufanya maendeleo katika kufikia malengo yake ya mazingira, ambapo limeonesha...
11 years ago
Habarileo13 Mar
‘Watanzania wafikirie kulinda Muungano’
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira amesema ni vyema Watanzania wakafikiria kudumisha Muungano kwa kutazama kero zilizoonekana miaka 50 iliyopita ikiwemo kero za watendaji, sheria na kuondoa kabisa kero zote ili kuweza kusonga mbele.
10 years ago
Habarileo10 Dec
Watanzania waaswa kulinda amani
RAIS Jakaya Kikwete ameongoza Watanzania katika kuadhimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika, huku msisitizo katika sherehe hizo ukiwa ni kuwataka kutokubali kurubuniwa na kuharibu amani iliyopo na badala yake waidumishe na kujituma.
10 years ago
Habarileo01 Mar
Watanzania watakiwa kulinda amani, utulivu
WATANZANIA wametakiwa kulinda amani ya nchi kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo ili kuliletea taifa maendeleo.
10 years ago
Habarileo03 Jul
Watanzania wapewa hadhari kulinda taifa
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Ame Silima, ametoa mwito kwa Watanzania katika mikoa ambayo uandikishaji wa vitambulisho vya taifa unaendelea, wawe makini kutambuana ili kuwataja wanaowashuku kuwa si raia wa Tanzaia, ili wachunguzwe kabla ya kuandikishwa.
10 years ago
StarTV12 Oct
Watanzania waaswa kulinda amani, umoja, haki
Watanzania wameaswa kuzilinda kwa hali na mali tunu muhimu za Taifa ambazo ni amani, umoja na haki ili kuepuka machafuko na kupita salama katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Mpaka sasa viashiria vya uvunjifu wa tunu hizo vinatajwa kuanza kuonekana kutokana na kuwepo kwa sera za uchochezi kwa baadhi ya vyama vya siasa vingine vikiwahimiza vijana kulinda kura siku ya uchaguzi jambo ambalo ni kinyume na maagizo ya Tume ya Uchaguzi nchini NEC.
Ni takribani wiki...
10 years ago
Michuzi
WATANZANIA WATAKIWA KULINDA SHAHADA ZAO ZA KUPIGIA KURA

Dkt Magufuli ameishauri tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kutimiza wajibu wake wa kutenda haki kwa wagombea wote wa ngazi za Uraisi,pia amewataka Wananchi wakatae kulaghaiwa...