UN kulinda wanyamapori DRC
Watetezi wa wanyama pori wamepongeza hatua ya baraza la usalama la umoja wa mataifa kukabiliana na ulanguzi wa wanyama pori DRC.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Feb
Mgimwa asihi Watanzania kulinda wanyamapori
NAIBU Waziri Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa amewasisitizia Watanzania kuendelea kuwalinda wanyamapori kwa hali na mali, kwani wanyama hao ni mali yao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J_jCmdjN-TM/Xt-F4nyPQ7I/AAAAAAALtLo/GYA17Vwxgf8SNiuv4X2hliZnnbedIaw_wCLcBGAsYHQ/s72-c/476d26bb-95cf-4235-88dd-59a3affd8768.jpg)
KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES LAENDELEA KUWEKA UMUHIMU WA KULINDA WANYAMAPORI
![](https://1.bp.blogspot.com/-J_jCmdjN-TM/Xt-F4nyPQ7I/AAAAAAALtLo/GYA17Vwxgf8SNiuv4X2hliZnnbedIaw_wCLcBGAsYHQ/s640/476d26bb-95cf-4235-88dd-59a3affd8768.jpg)
Katika maadhimisho hayo shirika la ndege la Emirates, likijua vizuri jukumu lake katika mfumo wa ikolojia kidunia limeendelea kufanya maendeleo katika kufikia malengo yake ya mazingira, ambapo limeonesha...
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Tanzania, DRC zakubaliana kulinda Ziwa Tanganyika
SERIKALI za Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimetoa wito kwa jumuiya ya kimataifa na marafiki wengine kutoa msaada wa hali na mali katika juhudi za nchi hizo...
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mkurugenzi wa Wanyamapori aondolewa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na kumteua Paul Sarakikya kukaimu nafasi hiyo. Kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari, Nyalandu alisema amechukua hatua hiyo kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa kazi wa idara hiyo katika mapambano dhidi ya ujangili, yanayoendelea nchini.
11 years ago
Habarileo10 May
Mamlaka ya Hifadhi ya Wanyamapori
KATIKA kuhakikisha kunakuwa na uhifadhi endelevu wa wanyamapori nchini, serikali imetangaza kuanzisha Mamlaka ya Hifadhi ya Wanyamapori inayotarajiwa kuanza kazi mwishoni mwa mwezi huu huku makao yake makuu yakiwa mkoani Morogoro.
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Bunduki yaua askari wanyamapori
ASKARI wa wanyamapori wa kituo cha Mtemera kilichopo Pori la Akiba la Selous, Hassan Nindi (59), amefariki dunia baada ya bunduki aina ya shotgun aliyokuwa nayo kumfyatukia. Taarifa kutoka kwa...
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mkurugenzi wa Wanyamapori nchini aondolewa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na kumteua Paul Sarakikya kukaimu nafasi hiyo.
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Wadau watetea wanyamapori London
10 years ago
Habarileo02 Jan
Askari wa Wanyamapori mbaroni kwa mauaji
ASKARI wanne wa Wanyamapori wameshikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Simiyu kwa madai ya kufanya mauaji kwa kumpiga risasi mchungaji wa ng’ombe aliyeingia katika eneo la hifadhi ya wanyama ndani ya eneo tengefu la Maswa wilayani Meatu.