Tanzania, DRC zakubaliana kulinda Ziwa Tanganyika
SERIKALI za Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimetoa wito kwa jumuiya ya kimataifa na marafiki wengine kutoa msaada wa hali na mali katika juhudi za nchi hizo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 Apr
DRC,Tanzania wataka msaada kunusuru Z'Tanganyika
SERIKALI ya Tanzania na ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimetaka Jumuiya ya Kimataifa na marafiki wengine kutoa msaada wa hali na mali katika juhudi za nchi hizo kutekeleza mradi unaohusisha ujenzi wa ukuta katika mto Lukuga ambao ndiyo pekee unaotoa maji kutoka Ziwa Tanganyika.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-akxqRFua7MY/U1APxHH7z5I/AAAAAAAFbh8/A5W4DPp0KvY/s72-c/unnamedd.jpg)
TANZANIA AND DRC STEP UP EFFORTS TO CURB LAKE TANGANYIKA CHALLENGES
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Masaa 14 ya safari ya Kinana Ziwa Tanganyika
![](http://2.bp.blogspot.com/-vEtGIaLPUx4/U0rw4mqWsqI/AAAAAAAANIE/BuQ7k3nxfMY/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipanda boti kutoka mkoa wa Kigoma kuelekea Karema mkoani Katavi kwa siku nne.
![](http://1.bp.blogspot.com/-TfGbisZF4NM/U0rw-1MoFFI/AAAAAAAANIM/CBMkWgOOe-w/s1600/4.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wa kijiji cha Sigunga wilayani Uvinza mkoani Kigoma alipowasili kijijini hapo kuzungumza wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi,wengine wanaonekana kwenye picha ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Balozi Ali Abeid Karume.
![ccm 1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/ccm-12.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Majambazi yavamia wavuvi Ziwa Tanganyika
WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wakiwa na silaha wamevamia wavuvi katika Ziwa Tanganyika na kuwapora zana mbalimbali za uvuvi zikiwemo mashine saba za boti...
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Maharusi wanusurika kifo Ziwa Tanganyika
WATU zaidi ya 64 wakazi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, wamesadikiwa kufa maji Ziwa Tanganyika baada ya mitumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama majini kutokana na uzito uliosababishwa na kuzidisha abiria. Akifafanua...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Zana duni zazoofisha uvuvi ziwa Tanganyika
ZANA duni zinazotumiwa na wavuvi katika shughuli za uvuvi kwenye mwambao wa Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma, kumeelezwa kuchangia kuifanya shughuli ya uvuvi kutokuwa na tija ya kutosha.
11 years ago
BBCSwahili31 Jan
UN kulinda wanyamapori DRC
10 years ago
Habarileo14 Jan
Wavuvi ziwa Tanganyika watumia zana zenye sumu
WAVUVI katika Ziwa Tanganyika wilayani Nkasi mkoani Rukwa wamebainika kutumia zana haramu za uvuvi zikiwemo nyavu aina ya Monofilament zenye sumu kali ambayo ni hatari kwa maisha ya walaji na viumbe hai wanaoishi ziwani humo.