Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania, DRC zakubaliana kulinda Ziwa Tanganyika

SERIKALI za Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimetoa wito kwa jumuiya ya kimataifa na marafiki wengine kutoa msaada wa hali na mali katika juhudi za nchi hizo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

DRC,Tanzania wataka msaada kunusuru Z'Tanganyika

SERIKALI ya Tanzania na ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimetaka Jumuiya ya Kimataifa na marafiki wengine kutoa msaada wa hali na mali katika juhudi za nchi hizo kutekeleza mradi unaohusisha ujenzi wa ukuta katika mto Lukuga ambao ndiyo pekee unaotoa maji kutoka Ziwa Tanganyika.

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA AND DRC STEP UP EFFORTS TO CURB LAKE TANGANYIKA CHALLENGES

The First Ministerial Meeting of Ministers responsible for water resources from the United Republic of Tanzania and the Democratic Republic of Congo (DRC)  met in Dodoma, Tanzania to step up efforts to curbing Lake Tanganyika Challenges.   The meeting was jointly opened by Hon. Prof. Jumanne A. Maghembe, Minister for Water of the United Republic of Tanzania and Hon. Bruno Kapandji Kalala, Minister for Water and Electricity of the Democratic Republic of Congo (DRC) both accompanied by their...

 

11 years ago

Dewji Blog

Masaa 14 ya safari ya Kinana Ziwa Tanganyika

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipanda boti kutoka mkoa wa Kigoma kuelekea Karema mkoani Katavi kwa siku nne.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wa kijiji cha Sigunga wilayani Uvinza mkoani Kigoma alipowasili kijijini hapo kuzungumza wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi,wengine wanaonekana kwenye picha ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Balozi Ali Abeid Karume.

ccm 1

Katibu Mkuu wa CCM...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majambazi yavamia wavuvi Ziwa Tanganyika

WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wakiwa na silaha wamevamia wavuvi katika Ziwa Tanganyika na kuwapora zana mbalimbali za uvuvi zikiwemo mashine saba za boti...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maharusi wanusurika kifo Ziwa Tanganyika

WATU zaidi ya 64 wakazi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, wamesadikiwa kufa maji Ziwa Tanganyika baada ya mitumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama majini kutokana na uzito uliosababishwa na kuzidisha abiria. Akifafanua...

 

9 years ago

Habarileo

Zana duni zazoofisha uvuvi ziwa Tanganyika

ZANA duni zinazotumiwa na wavuvi katika shughuli za uvuvi kwenye mwambao wa Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma, kumeelezwa kuchangia kuifanya shughuli ya uvuvi kutokuwa na tija ya kutosha.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN kulinda wanyamapori DRC

Watetezi wa wanyama pori wamepongeza hatua ya baraza la usalama la umoja wa mataifa kukabiliana na ulanguzi wa wanyama pori DRC.

 

10 years ago

Habarileo

Wavuvi ziwa Tanganyika watumia zana zenye sumu

WAVUVI katika Ziwa Tanganyika wilayani Nkasi mkoani Rukwa wamebainika kutumia zana haramu za uvuvi zikiwemo nyavu aina ya Monofilament zenye sumu kali ambayo ni hatari kwa maisha ya walaji na viumbe hai wanaoishi ziwani humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani