Wavuvi ziwa Tanganyika watumia zana zenye sumu
WAVUVI katika Ziwa Tanganyika wilayani Nkasi mkoani Rukwa wamebainika kutumia zana haramu za uvuvi zikiwemo nyavu aina ya Monofilament zenye sumu kali ambayo ni hatari kwa maisha ya walaji na viumbe hai wanaoishi ziwani humo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo30 Dec
Zana duni zazoofisha uvuvi ziwa Tanganyika
ZANA duni zinazotumiwa na wavuvi katika shughuli za uvuvi kwenye mwambao wa Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma, kumeelezwa kuchangia kuifanya shughuli ya uvuvi kutokuwa na tija ya kutosha.
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Majambazi yavamia wavuvi Ziwa Tanganyika
WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wakiwa na silaha wamevamia wavuvi katika Ziwa Tanganyika na kuwapora zana mbalimbali za uvuvi zikiwemo mashine saba za boti...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XRAKotIqdZE/U0kha_vRNgI/AAAAAAACevM/XhaUNx7sdjo/s72-c/7.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA ATEMBELEA MJI WA KIHISTORIA WA UJIJI,AKUTANA NA WAVUVI WADOGO WADOGO ZIWA TANGANYIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-XRAKotIqdZE/U0kha_vRNgI/AAAAAAACevM/XhaUNx7sdjo/s1600/7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q4_5d-ktbz0/U0khdZQCUTI/AAAAAAACevc/muPqJDc95gY/s1600/9.jpg)
11 years ago
Habarileo21 Mar
Wavuvi kupewa ruzuku kupata zana bora
SERIKALI imetangaza kuanza kutoa ruzuku za pembejeo na zana za uvuvi ili kuwasaidia wavuvi nchini kupata zana bora na zinazokubalika kisheria kwa kutenga Sh bilioni 1.9 katika mwaka huu wa fedha.
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Wavuvi wamwaga sumu Mto Kou
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia
Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.
Na. Jumbe Ismailly
[IGUNGA] Kituo cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Masaa 14 ya safari ya Kinana Ziwa Tanganyika
![](http://2.bp.blogspot.com/-vEtGIaLPUx4/U0rw4mqWsqI/AAAAAAAANIE/BuQ7k3nxfMY/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipanda boti kutoka mkoa wa Kigoma kuelekea Karema mkoani Katavi kwa siku nne.
![](http://1.bp.blogspot.com/-TfGbisZF4NM/U0rw-1MoFFI/AAAAAAAANIM/CBMkWgOOe-w/s1600/4.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wa kijiji cha Sigunga wilayani Uvinza mkoani Kigoma alipowasili kijijini hapo kuzungumza wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi,wengine wanaonekana kwenye picha ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Balozi Ali Abeid Karume.
![ccm 1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/ccm-12.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM...
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Maharusi wanusurika kifo Ziwa Tanganyika
WATU zaidi ya 64 wakazi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, wamesadikiwa kufa maji Ziwa Tanganyika baada ya mitumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama majini kutokana na uzito uliosababishwa na kuzidisha abiria. Akifafanua...